Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Kwa hiyo akitafuta ndo aanze kuhonga tu sio!!!?
 


Wanaume tujutahidi kutotaka kuwalala wapenzi wetu wapya mapema, ukitaka kumlala tu mwanamke, na yeye atataka kufaidika.
 
Madem wa arusha kweli wanapenda video call ila sioni kama ni shida alaf mwanaume ukiombwa hela usiwe mchoyo asee jifunze kutoa bila sababu ukiwa na familia nahisi kuna mambo watakosa maana hujui kutoa..... Kumnyima hiyo 80k haijamuathiri chochote zaidi anatafuta jamaa lake analichuna maisha yanasonga.

: Ukiona dem naaomba msaada mapema basi huyo kakupenda mpe tena ikiwezekana usisubiri aombe ww ukiwa na 5k mpe sio mpka siku akuombe 100k uanze kupagawa jf😂😂😂
 
Mkuu kuna wanaume wajinga utakuta ana Mpangia chumba changudoa na kumuhudumia, na hicho chumba kinageuzwa guest.
Hakuna mwanaume mjinga asee ukiona kaamua kufanya hivyo basi anaajua nini anafanya kwenye mapenzi kuna upofu mbaya sana kile ww unachoona huwez fanya mwenzako ndio hasikii haambiliki na swala linalohusisha hiisia tena za moyo sio akili basi linaweza kukuchanganya muda wowote.

Muda mwingine sisi wanaume tunajisemea mwanamke hawezi nisumbua ila uhalisia ni pale anapokua mwenyewe yeye na nafsi yake unakuta anaendeshwa sana na mapenzi kwakua sio jambo rahisi kulicontroll.
 
Ni kamgogoro kakubwa sana haka ka kuombana ombana, kila mtu abaki na chake, maana ke ukijifanya mstaarabu usiombe ombe ndo utakopwa kei mpaka ikome, so ni nipe kitu nitoe vituz hivyo yani
Si bora uweke bei elekezi, Au ujipange barabarani usiku tujue Moja Kapeace
 
Watu wa humu nawajua vizuri kipenzi,, ni kwamba tu napenda kusimamia ukweli.. na ushauri kama ni mzuri unafuatwa tu regardless nani ameleta.. and by the way am not a feminist,, nadhani hatuwezi kuwa na mitazamo sawa
Jibu murua kabisa bidada umeupiga mwingi sana
 
Acha umatonya tafuta vyako.
 
Dah! Hili jibu lako lifanyiwe lamination tukahifadhi kwenye maonesho ya kumbukumbu ya Taifa
 
Na hao watu wa maana unadhani wanapitakana huku jf?? [emoji23][emoji23][emoji23]

Jipe moyo dada ila huku hamna kitu. Unachekesha kweli hahahahaha
Ila watu mnachekesha😃😃😃... aliyewaambia mimi niko humu kutafuta mtu nani🤣🤣🤣🤣🙌.,, ushauri kama haukufai unaachana nao tu kwani shida iko wapi??🤔🤔.. ukiona unaumizwa hadi na comments za humu jua una shida mahali sio bure🤣🤣
 
kinachowakera wanaume wengi ni usanii wa wanawake wengi unakuta wanagharamia sana na mzigo hawapati nauli inaliwa manzi hatokei.
 
kinachowakera wanaume wengi ni usanii wa wanawake wengi unakuta wanagharamia sana na mzigo hawapati nauli inaliwa manzi hatokei.
Poleni kwa hilo ila ni ngumu kuamini.

Ila most men, unaweza kumpa penzi na mkawa vizuri, anajipakulia tu anavyotaka ila hata kujiongeza kwamba atoe hata hela ya sabuni kwa mpenzi wake wapii???

Kama unahudumia, kwanini mwanamke aanze kukuomba omba hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…