moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
[emoji1][emoji1]Mkuu unalala store?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1]Mkuu unalala store?
nina kaswali kwakoUrithi wa bibi ndio unaoleta yote hayo [emoji1787][emoji1787]
Ila sagodi alitupendelea kutuwekea kile kitufe tunatamba tyuuu!! [emoji2222][emoji2222]
Aisee, nimecheka snaKuna msemo katili..
Usitembee na mavy...jisaidie jisqfishe uwe huru.
Huu msemo katili lkn ndani yake una funzo
Akili yako ndio imeishia duka la nguo,? Serious?Sina haja ya kulumbana na low minded like you Wacha niendelee. Kudangakigenge chanini sasa wee mdangaji? nautu uzimawangu huu nifanye mambo yakitoto tena.
njoo nikufungulie duka languo uache kudanga huku ukijiita fighter
🤣🤣🤣Utakufa na makasirikodukalanguo ndio levo zako ukiachana nakudanga nasurayako mbovu kama umelamba ndimu.
Labda uninyonge ndio nitaacha,sawa.sawa tuu ila nataka uache kudanga sawa?
Hii ndio akili, kuna watu wanateswa sana na miandiko humu wakati wengine tunaandika kujifurahisha tuHoja yangu ni kutokua serious sana na mambo ya humu, ukiona mtu kaweka comment yake isiyokupendeza wewe pita kimya kimya, kulazimisha mawazo ya wote yafanane huo ni upuuzi na kuingilia uhuru wa kujieleza,
mpe wewe maua yake kwa ndoa maana anaitafuta kwa bidii ila nimemwambia sio humu hatopata zaidi atakuja kuanikwa tu kama walotangulia.
Tafuta wife material uoe achana na Mimi nitakustress tubasi nitakuoa mkewatatu ili nikunusuru.siwezi kukuacha unapotea bure
ngoja nikujibu mojamoja, kua na mpenzi haimaanishi kwamba natafuta ndoa.. and by the way am too young for marriage which means I can't compete with anyone here, just was an advice to these girls ambao walikua wanatoa povu kwa mleta mada wakati kaongea kitu cha msingi... pia mitazamo yangu na yako ni tofauti cause naona kama una chuki binafsi na wanaume hadi ukaamua kua leisbian, so pole sana maana dawa yako mimi sina kipenzi...
Am Sorry kama nimetumia maneno magumu, lengo ni kukufanya tu uache kubishana na mimi kwasababu sipo kwenye hiyo mood [emoji4][emoji8]
Tushawazoea, kila mtu ana lengo lake la kuwepo kwenye mitandao ya kijamii, laiti wengi tungelijua hilo walaa tusingekua na mahasiraHii ndio akili, kuna watu wanateswa sana na miandiko humu wakati wengine tunaandika kujifurahisha tu
Dr. Unajua wewe umekuaTushawazoea, kila mtu ana lengo lake la kuwepo kwenye mitandao ya kijamii, laiti wengi tungelijua hilo walaa tusingekua na mahasira
Walai hii comment ndio naiona leo, sikujua kama umecatch feelings namna hii wakati nilikutaka radhi mwanzo [emoji38],
Nikwambie tu 'young girl' sina chuki yoyote na mwanaume tunarudi kule kule humu tunaandika kujifurahisha you don't know shit about me, nina Baba nampenda sana, nina Makaka wanne nawapenda sanaa, nina Wajomba nawakubali kinoma, Boss wangu ni Mwanaume, circle yangu imezungukwa na Wanaume hiyo chuki naitoa wapi [emoji23][emoji23]
Kusema eti NIMEAMUA kua Lesbian tayari inaonesha huna ufahamu wowote kuhusu Sexual Orientation, au wewe ulilala ukaamua kua Heterosexual? Ridiculous right? Lol
So dear, ni kweli huna cha kunipa maana nishapewa tayari[emoji120], wewe endelea kuenjoy Jamii Forum hatujuani humu.
🤣🤣🤣🤣
Uliza shostinina kaswali kwako
FactKwahio Shida wazifiche kwanza (kabla ya commitment ambayo nayo ni ngumu zaidi) ili baadae iweje ?
Yaani muanze gharama za kumaliza kwanza kujenga msingi ili mje mjenge kuta ambazo hamjui kama ni ghorofa au nyumba ya makuti ?
All I can say put your cards on the table ili mtu / watu waamue kusuka au kunyoa.., kwa kufanya hivyo mtapunguzia watu kero za kuwachangia harusi zenu ambao mwisho wa mwaka ni divorce na kuanza kusumbua watu kwa kuelezea kero zenu....
wewe ni cute wife eeh,maana kivuruge wangu amepotea mudaUliza shosti
Akuuu sio mie 😂😂😂😂wewe ni cute wife eeh,maana kivuruge wangu amepotea muda
MmhAkuuu sio mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unaguna tena Mrs Don 😂😂😂