Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wajitahidi vipi kuficha wakati hilo ndio lengo kuu?[emoji3]
 
Juzi hapa ilinitokea nilitokea kumuazima dogo mmoja simu aongee na dada yake.Huyo dada mtu tukaendelea kuwasiliana baada ya siku kadhaa akaniomba bundle nikamushia,mara akadai ana shda ya 10k nikamtumia baadaye tukajikuta tumetongozana.Yakapita mambo Mengi tu na siku Moja tukaonana,Ile tumeonana Binti ana masharti kibao na muda wa kuondoka aliamua kuondoka akaniacha katikati ya waudumu huko msasani.Baadaye akawa anataka nimpe pesa akanunue nguo ya harusi na mambo kibao.Siku nikasema ngoja nisipige simu nione,zimepita siku kibao hata hajapiga simu na mie kimyaaaa.
 
Msamehe ni Binti kigoli tu kamaliza kidato Cha Sita.
 
Ja
Hahaha 8
 
Hawa mabinti wa mtandao wengi zero brain. Nilimpata mmoja siku nimeomba nionane nae weekend. Ijumaa akaumwa akanipigia eti nimkopeshe hela aende Hospital. Nikamkaushia akaanza shit et kama hela ya hospital tu umeninyima hayo mengine utaweza. Nikamwambia mbona baba ako kashindwa.
 
Jamani πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…