Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikuwa Dar es Salaam.

Huyu binti kwanza alikuwa ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikuwa anataka kugundua nini.

Ingawa nilikuwa sipendi lakini nikaona anyway kwakuwa ndo tumeanza mahusiano wacha nimridhishe

Hali hiyo haikunisumbua sana maana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call.

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae.

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadilishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yaani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikuwa na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% maana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel.

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano maana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yaani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Wajitahidi vipi kuficha wakati hilo ndio lengo kuu?[emoji3]
 
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikuwa Dar es Salaam.

Huyu binti kwanza alikuwa ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikuwa anataka kugundua nini.

Ingawa nilikuwa sipendi lakini nikaona anyway kwakuwa ndo tumeanza mahusiano wacha nimridhishe

Hali hiyo haikunisumbua sana maana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call.

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae.

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadilishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yaani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikuwa na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% maana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel.

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano maana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yaani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Juzi hapa ilinitokea nilitokea kumuazima dogo mmoja simu aongee na dada yake.Huyo dada mtu tukaendelea kuwasiliana baada ya siku kadhaa akaniomba bundle nikamushia,mara akadai ana shda ya 10k nikamtumia baadaye tukajikuta tumetongozana.Yakapita mambo Mengi tu na siku Moja tukaonana,Ile tumeonana Binti ana masharti kibao na muda wa kuondoka aliamua kuondoka akaniacha katikati ya waudumu huko msasani.Baadaye akawa anataka nimpe pesa akanunue nguo ya harusi na mambo kibao.Siku nikasema ngoja nisipige simu nione,zimepita siku kibao hata hajapiga simu na mie kimyaaaa.
 
Sasa we mwenyewe hujishangai maelezo yako, unaoneka wazi umekurupuka kujibu.

Familia na uchumba ni vitu viwili tofauti, kama angekua ni mke nisingelalamika mana tayari ni mke sasa sasa nahudumiaje mchumba ambae hata penzi lake sijalionja.

Tumia akili boya wewe
Msamehe ni Binti kigoli tu kamaliza kidato Cha Sita.
 
Ja
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikuwa Dar es Salaam.

Huyu binti kwanza alikuwa ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikuwa anataka kugundua nini.

Ingawa nilikuwa sipendi lakini nikaona anyway kwakuwa ndo tumeanza mahusiano wacha nimridhishe

Hali hiyo haikunisumbua sana maana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call.

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae.

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadilishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yaani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikuwa na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% maana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel.

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano maana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yaani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Hahaha 8
 
Hawa mabinti wa mtandao wengi zero brain. Nilimpata mmoja siku nimeomba nionane nae weekend. Ijumaa akaumwa akanipigia eti nimkopeshe hela aende Hospital. Nikamkaushia akaanza shit et kama hela ya hospital tu umeninyima hayo mengine utaweza. Nikamwambia mbona baba ako kashindwa.
 
Hawa mabinti wa mtandao wengi zero brain. Nilimpata mmoja siku nimeomba nionane nae weekend. Ijumaa akaumwa akanipigia eti nimkopeshe hela aende Hospital. Nikamkaushia akaanza shit et kama hela ya hospital tu umeninyima hayo mengine utaweza. Nikamwambia mbona baba ako kashindwa.
Jamani 😃😃😃😂😂
 
Hawa mabinti wa mtandao wengi zero brain. Nilimpata mmoja siku nimeomba nionane nae weekend. Ijumaa akaumwa akanipigia eti nimkopeshe hela aende Hospital. Nikamkaushia akaanza shit et kama hela ya hospital tu umeninyima hayo mengine utaweza. Nikamwambia mbona baba ako kashindwa.
Hahah
 
Back
Top Bottom