Okay.....Alikuwa bonge la fighter yaani ila maisha hayatabiriki,story yake ni very touching...... mahusiano ya ndoa ndio yamemfikisha hapoUkiambatana na watu wa aina hiyo tegemea anguko, tembea na watu wenye maono, wapambanaji na wavumilivu.
Huyo ni dhaifu sana
Hapa JF kuna wife materials hamjui nyie! CC Leejay49Mwanetu kapata mpenzi aisee
Mbona mfano uko uchi tu jmnNieleweshe tafadhali
KUna wakati yaliyopita hayakubebi....kwasasa una beba nini kichwani na moyoni?Okay.....Alikuwa bonge la fighter yaani ila maisha hayatabiriki,story yake ni very touching...... mahusiano ya ndoa ndio yamemfikisha hapo
Unatafuta Ligi tu! Hapa mtu lazima uwe huru! Kuna wanaokejeli, kuna waelimisha, kuna tunaojifunza etc. Hivyo si kila msomaji au mtoa mada hayupo serious!Hoja yangu ni kutokua serious sana na mambo ya humu, ukiona mtu kaweka comment yake isiyokupendeza wewe pita kimya kimya, kulazimisha mawazo ya wote yafanane huo ni upuuzi na kuingilia uhuru wa kujieleza,
mpe wewe maua yake kwa ndoa maana anaitafuta kwa bidii ila nimemwambia sio humu hatopata zaidi atakuja kuanikwa tu kama walotangulia.
NimekuelewaMbona mfano uko uchi tu jmn
Waambieni madem zenu wajifunze kutafuta hela waache kulialia πππKweli nimemuonea wivu sana π
Wanawake wamekuwa ombaomba sana
Ila watu πππ... aliyekwambia mimi natafuta ndoa nani?ππHoja yangu ni kutokua serious sana na mambo ya humu, ukiona mtu kaweka comment yake isiyokupendeza wewe pita kimya kimya, kulazimisha mawazo ya wote yafanane huo ni upuuzi na kuingilia uhuru wa kujieleza,
mpe wewe maua yake kwa ndoa maana anaitafuta kwa bidii ila nimemwambia sio humu hatopata zaidi atakuja kuanikwa tu kama walotangulia.
Hapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benkiKUna wakati yaliyopita hayakubebi....kwasasa una beba nini kichwani na moyoni?
Imeandikwa... hata sasa ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu...hata sasa..zingatia hili
Hujanielewa hadi utakaponielewa.Hapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benki
Tofautisha kuambatana na kusaidia...ndipo utanielewaHapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benki
Niko tofauti kidogo,Sina namna ya kumsaidia financially,ila siwezi kukosa kumpa faraja.... sometime tunahitaji watu wa kutuambia tu it's okay litapita hili.....simple tu hainicost chochote to be a good personTofautisha kuambatana na kusaidia...ndipo utanielewa
Huko sio kuambatana...una safari ndefu kunielewaNiko tofauti kidogo,Sina namna ya kumsaidia financially,ila siwezi kukosa kumpa faraja.... sometime tunahitaji watu wa kutuambia tu it's okay litapita hili.....simple tu hainicost chochote to be a good person
Nimesha tubu kwanzia leo vizinga basi.Umesema ukweli kiongozi na ninakusapoti 100%.. sema usishangae wadada wengi humu wanakutolea povu , wengi ni njaa kali( elewa neno njaa kali)
Wadada tubadilike tutakosa watu wa maana kwa kuweka nao malengo kwa kuendekeza shida na mizinga ya kipuuzi puuzi..
Nipo hapa mawe na matusi ruksa[emoji41][emoji41]
Tuko tofauti,Ina maana wewe ni type ya watu mnaotaka only team winners right? life Ina upside down nyingi sana, ,you never know kesho destiny Yako ikoje....Huwezi kuwa mjanja muda wote....be good haikupunguzii chochoteHuko sio kuambatana...una safari ndefu kunielewa
Nasema...unajisemea tu.Tuko tofauti,Ina maana wewe ni type ya watu mnaotaka only team winners right? life Ina upside down nyingi sana, ,you never know kesho destiny Yako ikoje....Huwezi kuwa mjanja muda wote....be good haikupunguzii chochote
UKiwa hujaelewa...usijibu utakosea, endelea hivyo hivyo kubwabwajaTuko tofauti,Ina maana wewe ni type ya watu mnaotaka only team winners right? life Ina upside down nyingi sana, ,you never know kesho destiny Yako ikoje....Huwezi kuwa mjanja muda wote....be good haikupunguzii chochote
Inapendeza πNimesha tubu kwanzia leo vizinga basi.
Dogo anakuwaga na akili sanaUmesema ukweli kiongozi na ninakusapoti 100%.. sema usishangae wadada wengi humu wanakutolea povu , wengi ni njaa kali( elewa neno njaa kali)
Wadada tubadilike tutakosa watu wa maana kwa kuweka nao malengo kwa kuendekeza shida na mizinga ya kipuuzi puuzi..
Nipo hapa mawe na matusi ruksaππ
Kidogo tu sio sana ππDogo anakuwaga na akili sana