Wanawake Kama Mko Hivi Basi Tusilaumiane..!!

Wanawake Kama Mko Hivi Basi Tusilaumiane..!!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu
huchoki....We mwanaume robo saa si tayari
unanikomoa?? Nani akukomoe wewe!! We
Mwanaume hiyo ndo style gani.... Nani kakufundisha
hii mbona hatujawahi kufanya..... Sasa haya Mapenzi
au Interview??? Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini, sasa
raha utasikia saa ngapi??? Mwanaume anajipinda ili
akufikishe wewe umekazana na Questionnaire
yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza
bwana mi nimechoka..Yaani kauliza maswali
weeeeeee, halafu anakwambia Maliza....Dah,ukute we ndo kwanza uko Chalinze, unaambiwa maliza,sasa sijui
utafika Ubungo Stendi na Ungo.... Kwakweli, kama uko
hivi, sishangai Jama akicheat, kosa ni lako mwenyewe!
 
Nashukuru Mungu Nimekutana na karaha chache sana kitandani
 
teh ndo mana nimeachana na kisura ........nw niko na mtu wa kawaida sana huwa hana maswali ni shughuli tu
 
Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu
huchoki....We mwanaume robo saa si tayari
unanikomoa?? Nani akukomoe wewe!! We
Mwanaume hiyo ndo style gani.... Nani kakufundisha
hii mbona hatujawahi kufanya..... Sasa haya Mapenzi
au Interview??? Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini, sasa
raha utasikia saa ngapi??? Mwanaume anajipinda ili
akufikishe wewe umekazana na Questionnaire
yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza
bwana mi nimechoka..Yaani kauliza maswali
weeeeeee, halafu anakwambia Maliza....Dah,ukute we ndo kwanza uko Chalinze, unaambiwa maliza,sasa sijui
utafika Ubungo Stendi na Ungo.... Kwakweli, kama uko
hivi, sishangai Jama akicheat, kosa ni lako mwenyewe!

VIUMBE HAWA BWANA KAMA MACHIZI VILE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini usimchoshe sasa wakt hugusi popote
 

Attachments

  • 1474222020973.jpg
    1474222020973.jpg
    9.3 KB · Views: 55
Shughuli inavyokuwa pevu hivi kuna muda wa kuongeaga hayo kweli zaidi ya kudeka na kusikiliza maneno matamuu,lainiii kutoka kwa bae daaah kweli watu wanamiss vitamu badala ya kishiri utamu unalalamikaa? Hata siamini
 
Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu
huchoki....We mwanaume robo saa si tayari
unanikomoa?? Nani akukomoe wewe!! We
Mwanaume hiyo ndo style gani.... Nani kakufundisha
hii mbona hatujawahi kufanya..... Sasa haya Mapenzi
au Interview??? Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini, sasa
raha utasikia saa ngapi??? Mwanaume anajipinda ili
akufikishe wewe umekazana na Questionnaire
yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza
bwana mi nimechoka..Yaani kauliza maswali
weeeeeee, halafu anakwambia Maliza....Dah,ukute we ndo kwanza uko Chalinze, unaambiwa maliza,sasa sijui
utafika Ubungo Stendi na Ungo.... Kwakweli, kama uko
hivi, sishangai Jama akicheat, kosa ni lako mwenyewe!
Hivi kufanya mapenzi kwa Muda mrefu mfano kwa saa nzima ndo kumridhisha mwanamke au?
 
Back
Top Bottom