Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
- #21
geita na simiyuKanda ya ziwa sehemu gani?Maana kesi za wajinga wa sehemu fulani wanasingiziwa wote.Itaje hiyo sehemu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
geita na simiyuKanda ya ziwa sehemu gani?Maana kesi za wajinga wa sehemu fulani wanasingiziwa wote.Itaje hiyo sehemu.
Vema.Alipaswa kuandika hivyo.Siyo kutaja tu kanda ya ziwa.Itakuwa "kanda ya titi"!geita na simiyu
na mwanzaVema.Alipaswa kuandika hivyo.Siyo kutaja tu kanda ya ziwa.Itakuwa "kanda ya titi"!
mimi ni mtu mzima mwenye umri wa miaka 52 usinikosee heshima tafadhari. na usirudie tena kuutusi uzi wanguStupid thread. Yaani unao mwanamke hujui hata anakaa wapi? Wewe uliyeanzisha hii thread umepigwa kwa ushamba wako. Fuata utaratibu wa kuoa usipendw kusogeza wanawake.
Mnakutana ki mjini mnaachana kimjini. Usituchafue kanda ya ziwa.
Mtu mzima mwenye umri wa miaka 52 unaongea kama mtoto wa miaka 12 mtoto anayenuka maziwa ya mama yake.mimi ni mtu mzima mwenye umri wa miaka 52 usinikosee heshima tafadhari. na usirudie tena kuutusi uzi wangu
huwa sijui matusiMtu mzima mwenye umri wa miaka 52 unaongea kama mtoto wa miaka 12 mtoto anayenuka maziwa ya mama yake.