Wanawake Kanda ya Ziwa kuuza vitu wenza wao wakienda kutafuta maisha ni umasikini?

Wanawake Kanda ya Ziwa kuuza vitu wenza wao wakienda kutafuta maisha ni umasikini?

Hata mwanza hii tabia ipo sanaa..na wengi ni wenyeji wa huku huku....naona ni ushamba tu wa kuona TV na kitanda ni mali
 
Stupid thread. Yaani unao mwanamke hujui hata anakaa wapi? Wewe uliyeanzisha hii thread umepigwa kwa ushamba wako. Fuata utaratibu wa kuoa usipendw kusogeza wanawake.

Mnakutana ki mjini mnaachana kimjini. Usituchafue kanda ya ziwa.
 
Ni kuwa huwa wanajihami , na hlo hufanyika akisikia mshikaj ana mwanamke mwingine akili inakuja mda wwte ataachika na atakosa kila kitu , anaamua kujisevia , hii inasababishwa na wao kuwa mama wa nyumbani , mtu akiwa anakaa tuu nyumban anakuwa vulnerable Sana na mawazo ya mashost wenzake wa Aina hyo hyo ... Fuatilia utagundua wote wanaofanya hvyo ni wale wamekuwa na kutofautiana na wapenz wao mara Kwa mara
 
Stupid thread. Yaani unao mwanamke hujui hata anakaa wapi? Wewe uliyeanzisha hii thread umepigwa kwa ushamba wako. Fuata utaratibu wa kuoa usipendw kusogeza wanawake.

Mnakutana ki mjini mnaachana kimjini. Usituchafue kanda ya ziwa.
mimi ni mtu mzima mwenye umri wa miaka 52 usinikosee heshima tafadhari. na usirudie tena kuutusi uzi wangu
 
Back
Top Bottom