Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Rejea maandiko vizuri hakuna mwanaume wa mwanamke
Mkuu Loading

Hapa ndipo napokupinga.

ILA andiko lako zuri.
Nilikuwa naongea na mwalimu wangu kuhusu watu kuwa kwenye “cohabitation “

akasema hivi, mwanamke na mwanaume huwa wanaingia kwenye mahusiano na kuishi pamoja wakitegemea kwamba wajuane vzuri na baadae waingie kwenye ndoa.

ila kinachoshangaza ni kuwa wanawake na wanaume wengi ambao hupitia kipindi hichi 60% huishia break up( kuvunja mahusiano)

Kwa sababu hakuna binding commitment kati yenu.

Nikajaribu kutafakari nikasema kwa kiasi kikubwa wanaume wengi wanwake tulioanza nao hatujawa oa.

akasema ndio maana vijana wa sasahiv ndoa zenu nyingi hazidumu tofauti na za wazee zamani.
Lina ukweli hili?
 
Ke wa Bongo "Nataka Mume mwenye hofu na Mungu, mwenye kazi nzuri, nyumba na gari, mrefu mweusi atayenienzi mpaka kifo" ilihali in 25yrs old ana X boyfriends semi trailers 3, ukoo wake wote hauna hata IST.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.View attachment 2894999
hahahaha hii picha nimecheka kichizi
 
Kuvaa hivyo ni haki yake na huna kabisa right ya kumpangia cha Kuvaa, na akivaa hivyo sio maana she's looking for sex,tafuta hela acha mawazo ya kingono
Mwanamke hana haki ya kuvaa hovyo mbele ya jamii rejea maandiko matakatifu kuhusu mavazi ya mwanamke. Tofauti na hapo mwanamke wa hivyo maandiko matakatifu yanamuita kahaba
 
Mkuu Loading

Hapa ndipo napokupinga.

ILA andiko lako zuri.
Nilikuwa naongea na mwalimu wangu kuhusu watu kuwa kwenye “cohabitation “

akasema hivi, mwanamke na mwanaume huwa wanaingia kwenye mahusiano na kuishi pamoja wakitegemea kwamba wajuane vzuri na baadae waingie kwenye ndoa.

ila kinachoshangaza ni kuwa wanawake na wanaume wengi ambao hupitia kipindi hichi 60% huishia break up( kuvunja mahusiano)

Kwa sababu hakuna binding commitment kati yenu.

Nikajaribu kutafakari nikasema kwa kiasi kikubwa wanaume wengi wanwake tulioanza nao hatujawa oa.

akasema ndio maana vijana wa sasahiv ndoa zenu nyingi hazidumu tofauti na za wazee zamani.
Lina ukweli hili?
Ndoa za wazee wetu zilidumu kwasababu wazee wa zamani hawakuoa wake za watu napia ukikuta mwanamke alikua mke wa mtu akaolewa na wazee wa zamani ukifatilia kwa makini utakuta huyo mwanamke alikua ni mjane na mumewe alifariki ndoa ikiwa hai.

Nb: Wake za watu ni wakinanani soma vizuri uzi wangu utaelewa ninacho zungumza hapa
 
Ni kweli kabisa hasa hasa hawa wanawake waliofika chuo asilimia 99% ni wake za watu na wamesha ishi maisha ya ndoa vyuoni
acha hasira basi, km hutaki wasomi jaribu wa kijijini wasiomsliza la 7 upate amani, hao unaowananga ni mama zako waliokuzaa, ni manesi, mawaziri, usimtazame bata kuharisha kwake,
ukikua utaacha, sisi wahenga tumetoka huko hebu nitafutie mwanachuo km ww kakukataa
 
acha hasira basi, km hutaki wasomi jaribu wa kijijini wasiomsliza la 7 upate amani, hao unaowananga ni mama zako waliokuzaa, ni manesi, mawaziri, usimtazame bata kuharisha kwake,
ukikua utaacha, sisi wahenga tumetoka huko hebu nitafutie mwanachuo km ww kakukataa
Mkuu kwanini hauna akili hata kidogo?
 
Loooooo mkuu una matatizo nini na akina mama?,it take two to tango, sasa uzi wote huu umewatupia lawama akina dada, why mdada awe bikira ILA mkaka asiwe naye bikira ?,una mawazo mgando ya kuwafanya wadada wameletwa ili wawe playing toy's zako, RESPECT mwanamke maana wote tumetoka kwao, na sema NO kwa GBV
Mkuu hakuna mwanaume aliyetoka kwa mwanamke bali sisi tunazaliwa na mwanamke ( mwanamke ni kibebeo cha mwanaume ila hatutoki kwao) . Ipo hivi

1 Wakorintho 11:8-10,12
[8]Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
For the man is not of the woman; but the woman of the man.

[9]Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.
Neither was the man created for the woman; but the woman for the man.

[10]Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.
For this cause ought the woman to have power on her head because of the angels.

[12]Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu.
For as the woman is of the man, even so is the man also by the woman; but all things of God.
 
watu wengi wanaoa wake za watu
Hakuna mke wa mtu anaolewa na ndoa ikawa na sifa za ndoa. Ili ndoa iwe ndoa kuna matakwa ya kimkataba.

Sema, Kuna mwanamke malaya na mwanamke. Hao wanaoolewa wakiwa na wanaume wapo kwenye kundi la wanawake malaya ila wapo kwenye ndoa halali.
 
Hakuna mke wa mtu anaolewa. Kuna mwanamke malaya na wanawake. Hao wanaoolewa wakiwa na wanaume wapo kwenye kundi la wanawake malaya.
Unaelewa vizuri maana ya neno

1: Ndoa?

2: Mke?


Nenda kafatilie alafu urudi hapa.
 
Mnalea wtt wenu ktk misingi mibovu kiasi uhuru kidgo tu anaoupata wakat yuko chuo unabadilisha kila kitu kifupi ni kwamba binti hakui kwa wazazi so kufuatiliwa ni lazima na hawi huru maisha yake yote kwani jukumu hili likitoka kwa mzazi linahimia kwa mume
 
100%-99.9%=?
Hiyo 100% ni nini?

100% ya wanawake ni waliopo na wasipo mitandaoni. Halafu kuna 100% ya waliopo mitandaoni, Halafu kuna 100% ya wanaopost picha za uchi. Halafu kuna 100% ya wanawake na wanaume waliopo mitandaoni.

Hii 100% yako ni ipi?

Yaani wewe unataka kutumia kasample kadogo ka wanawake walipo mitandaoni ambao wanaweka picha za uchi kuhitimisha 100% ya wanawake wote? Statistics ya form two itumie.
 
Back
Top Bottom