Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

We mpumbavu hunaga hoja na kizuri ni kwamba wanawake wataendelea hivi hivi, halafu amueni mnachotaka kufanya sasa msipowaoa mkae mkijua miaka inavyozidi kuenda, usingle mother unaonekana kitu cha kawaida na hakuna anayejali tena kuhusu hayo matusi na dharau zenu

Nyie waiteni mtakavyowaita ila nobody gives a flying fvck anymore ni either muanze kubadilika ninyi, au mtulie mkubaliane na hali halisi ila kamwe msitegemee wanawake watarudi enzi za bibi zetu hata dunia ibadili mzunguko wake, sasa endeleeni na mitazamo yenu ya kipumbavu hiyo sijui mfumo dume

Nyie endeleeni kujifanya oo sijui mwanaume hatakiwi kujitunza sijui hakuna mwanaume wa mwanamke mmoja tu, sawa endeleeni kuzalisha wanawake bila kuwaoa huku mkiendelea kununua malaya fainali uzeeni, mwanamke atabaki na watoto wake wa kumlea na mwanaume atabaki na makahaba zake alowanunua
mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake, ni hivi ipo siku wanawake saba watamgombania mwanaume mmoja waitwe kwa jina lake ( awaoe)

Nikitendo cha muda tuu
 
Mzee unahasiraaa, sema umemwaga point tupu. Wahurumie mkuu ule ni mzagamuo wa kawaida tu kupunguza cost za lodge au kupanga vyumba viwili na kuepuka kubadilibadili madem na kuonyeshana mahaba ni jambo la kawaida tu 😆
 
Mkuu hakuna mwanaume aliyetoka kwa mwanamke bali sisi tunazaliwa na mwanamke ( mwanamke ni kibebeo cha mwanaume ila hatutoki kwao) . Ipo hivi

1 Wakorintho 11:8-10,12
[8]Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
For the man is not of the woman; but the woman of the man.

[9]Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.
Neither was the man created for the woman; but the woman for the man.

[10]Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.
For this cause ought the woman to have power on her head because of the angels.

[12]Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu.
For as the woman is of the man, even so is the man also by the woman; but all things of God.
Okay mkuu we have the right to disagree
 
Sijapenda title, kwanini useme wanawake na wakati wanaishi kijana wa kiume na wakike?

Sema wanachuo, vijana wa vyuo nk
Nimetumiwa wanawake kwasababu ,asiimia 99.99% wao ndiyo wanaocopy maisha batili ya ndoa haramu na kuyaleta kwenye ndoa halali
 
Bata ukichunguza sana hata anapoandaliwa na lile shombo shombo lake alilonalo humli, utaishia kuwaachia wengine tu wamle huku wewe ukiwaangalia wanajitafunia tu nyama
Malaya sio wa kufanya naye maisha

U can take a hoe out of the streets doesn't mean you can take away the streets out of her

You can't save a damaged woman

Malaya hafugiki
 
Malaya sio wa kufanya naye maisha

U can take a hoe out of the streets doesn't mean you can take away the streets out of her

You can't save a damaged woman

Malaya hafugiki
Yule aliemfuta Miguu Yesu alikua anaitwa Maria Ila hakua Bikra,
 
Acha kupotosha hilo andiko linapatikana Isaya 4 anzia kusoma Isaya 3 ndio utaelewa lilimaanisha nini, tabiri kuhusu Siku za mwisho zinapatikana Ufunuo tu huko kwingine mnadanganyana, endeleeni kusubiri hao wanawake saba wakati population ya dunia tu inaonesha wanaume ni wengi zaidi kuliko wanawake
Kwani wewe kwa macho ya nyama huoni hata sasa wameanza kusema hakuna waoaji?
 
Ndugu zangu na wasalimu sana.

Ndoa nitaasisi kubwa takatifu inayojumuisha muunganiko wa mwanamke bikira ( kama siyo bikira awe mjane, kafiwa na mumewe ndoa ikiwa bado hai) na mwanaume na iliyoundwa na kuanzishwa na mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote viijazavyo pamoja na sisi wanadamu.

Katika vyuo vyetu nchini kumekua na destruri ya wanachuo wengi sana wanaoishi hostel binafsi nje ya chuo au wanaopanga nyumba mitaani kuishi maisha batili na haramu ya unyumba ya mke na mume kwa miaka yote wawapo masomoni.

Wanachuo hawa wamekua wakifanya na kuigiza maisha ya ndoa kwa vitendo, huku mwanaume akiwa romantic sana na kufeki uhalisia wa uanaume kwa kigezo cha kwamba ni mapenzi, wamekua wakitumia boom hela wasizopata kwa jasho, hela za matumizi wanazopewa na wazazi wao kuishi maisha rahisi na batili ya unyumba kipindi chote cha masomo yao huku wakila starehe, kuvaa kimarioo, kusuka nywele mpaka kiunoni na wakati mwingine kushinda disco, viwanja na club, hali kadhalika kusheherekea birthday za kipuuzi.

Ndugu zangu wanawake wanasahau yale maisha aliyoishi ya unyumba chuoni ni haramu na haya maisha mengine ndiyo maisha halisi ya kutafuta hela kwa uchungu, chakula kwa jasho na kwanguvu huku ugumu wa maisha ukipanda na kushuka vile vile. Wanawake wengi wanayachukua maisha ya kucheza na hela ,kula bata na kujistarehesha kwamba ndiyo maisha halisi wanasahau ukija kuolewa katika maisha halisi hizo bata za chuoni huwezi kuzipata lazima uchakae kidogo , upoteze mvuto na mwanaume iposiku atakosa hela.

Wanawake wamesahau kwamba mavazi uyavaayo chuoni, birthday unazosheherekea huko , kulala viwanja, kusuka nywele mpaka kwenye kiuno, kucheza na gesi mwanzo mwisho, kufuga makucha marefu na muda mwingi kunukia kimalkia kwenye maisha ya uhalisia ya mdoa hayo hayapo

Hali kadhalika wamesahau kumtumikisha mwanaume kufanya kazi za ndani wakiita ndiyo mapenzi nalo kiuhalisia halipo maana mwanaume muda mwingi atakua busy kusaka hela familia isonge mbele.

Wanawake wamesahau mwanaume akikuoa atakuzalisha, watoti watakukojolea na kukutapikia , utazidiwa na majukumu na bado mume akirudi atataka akuzagamue , utanuka moshi wa kuni, mkaa na hata utakua na masinzi usoni, wamesahau kwamba hizo nywele ndefu mpaka kiunoni ni mwisho ni huko chuoni na siyo ndani ya ndoa maana ukiinama kuosha vyombo zipo kwenye maji, ukipika zipo kwenye chakula na wakati mwingine kuungua moto.

Wanawake wamesahau kulishana lishana kwa midomo mwisho ni huko chuoni, kwenye ndoa huo muda haupo unatakiwa uwaze kulisha mtoto awe na afya njema huku ukimuhimiza mwezako ale na kama ni mgonjwa basi unamsaidia.

Wamesahau mwanaume kufua nguo za ndani , mashuka, kuchota maji, kuosha vyombo, kusindikizana sokoni na kuongozana kama kumbi kumbi mwisho ilikua chuoni. Ndugu zangu wanawake wamesahau maisha ya bata waliyoishi unyumba batili na haramu. Ndoa ya kishetani mwisho ni huko vyuoni.

Mbaya kabisa wanawake kwa wanaume wamesahau kwamba ndoa ya kipepo, haramu na batili waliyoiishi vyuoni hawakuvunja hayo maagano . Wanakuja mtaani wanasaka kuolewa upya kumbe unaoa au kuolewa na mume au mke wa mtu wa mwanachuo mwezake.

Ndoa nyingi zinateketea wanawake wanayabeba maagano ya ndoa batili za chuoni, maisha ya kipuuzi ya vyuoni waliyoishi unyumba na mababy zao wanayaleta ndani ya ndoa halali na ndoa yenye uhalisia na kupelekea mtafaruku mkubwa sana katika taasisi ya ndoa

Sasa ndugu zangu ;-

***Wanaume jiulizeni sana huyo baby wako unae ringa nae, una vimba na kusema nimempenda atabadilika unajitosa kulipa mahari kubwa na kufanya sherehe kubwa sana ya harusi, je, alipokua chuo aliishi maisha gani ya chuo tena chimba zaidi ujue kama chuoni alikua ni mke wa mtu mwanafunzi mwezake kwa kipindi chote cha maisha yake ya masomo.


***Jiulize kama chuoni aliishi unyumba na akastareheka je wewe unaweza kumpa maisha aliyo yaishi chuoni au ni kujitutumua tuu na kujilisha upepo kwamba upendo hauhesabu mabaya.


****Jiulize je , huyo mke wa wanafunzi wa chuo unayetaka kumuoa ni mjane huyo mumewe mwanafunzi alikufa au unaoa mke wa mtu ambaye mumewe mwanachuo mwezake yupo hai alafu utegemee usije kuchapiwa na kuletewa watoto wa nje.
Andiko hili zuri ni kujutia haramisho la mafunzo ya jando na unyago.

Tulichokichagua ndo hiki kinachoendelea
 
mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake, ni hivi ipo siku wanawake saba watamgombania mwanaume mmoja waitwe kwa jina lake ( awaoe)

Nikitendo cha muda tuu
Mkuu Loading,

Hii umetoa wapi? Nataka sasa tufundishane.

Embu sema hayo maneno umeyatoa wapi?
 
Lete andiko tuone
Yule ni Maria

Yohana 12:3

3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.

4 Ndipo Yuda Iskariote, mmoja wa wanafunzi, ambaye baadaye alimsaliti Yesu, akasema, 5 “Kwa nini manukato haya yakuuzwa zikapatikana fedha nyingi wapewe maskini?”
 
Yule ni Maria

Yohana 12:3

3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.
Achana na Mariamu dada ya Lazaro mimi nilikuwa namzungumzoa huyu malaya

Luka 7:37-38

Neno: Bibilia Takatifu

37 Katika mji ule palikuwa na mwanamke mmoja kahaba. Naye aliposikia kuwa Yesu atakula nyum bani kwa yule Farisayo, alichukua chupa ya alabasta iliyojaa man ukato

38 akaenda, akakaa nyuma ya Yesu, karibu na miguu yake. Kisha akaanza kulia, machozi yake yakidondokea miguuni mwa Yesu, akayafuta kwa nywele zake. Huku akimbusu miguu na kuimiminia yale manukato
 
Achana na Mariamu dada ya Lazaro mimi nilikuwa namzungumzoa huyu malaya

Luka 7:37-38

Neno: Bibilia Takatifu

37 Katika mji ule palikuwa na mwanamke mmoja kahaba. Naye aliposikia kuwa Yesu atakula nyum bani kwa yule Farisayo, alichukua chupa ya alabasta iliyojaa man ukato

38 akaenda, akakaa nyuma ya Yesu, karibu na miguu yake. Kisha akaanza kulia, machozi yake yakidondokea miguuni mwa Yesu, akayafuta kwa nywele zake. Huku akimbusu miguu na kuimiminia yale manukato
Ndio huyo pia Jina lake hilo hilo
 
Back
Top Bottom