Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, nimeonaSoma vizuri ni watu wawili tofauti
Umekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.Utawala dume ndio unakusumbua,ke sio toys za me
Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dumeUmekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Wake up and smell the roses, Tanzania President ni mwanamke, Namibia 🇳🇦 (one of my beautiful country),Leo wamepata vice president mwanamke!,endelea kuotaUmekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Mkuu kwa dunia ya sasa ambayo wanaume wanataka wanawake nao watafute pesa, ili wasaidiane majukumu hakuna mwanamke atakubali kutawaliwa, with great authority comes great responsibility huwezi kukitawala usichokihudumia halafu kikakubaliUmekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Bila kusahau Ethiopia moja kati ya nchi zilizoendelea AfricaWake up and smell the roses, Tanzania President ni mwanamke, Namibia [emoji1176] (one of my beautiful country),Leo wamepata vice president mwanamke!,endelea kuota
AiseeSijasoma mpaka mwisho ila mtoa mada unazungumzia maisha ya ndoa au maisha ya UMASKINI. Kama una pesa mke hatonuka moshi wa kuni au kufua kila siku.
Mkuu haya ni majina tofauti kwa kuzingatia sheria za wayahudi za usajili wa majinaJina lake alikua anaitwa Maria, chukua hio
Sawa mkuu,Mkuu haya ni majina tofauti kwa kuzingatia sheria za wayahudi za usajili wa majina
Yohana 12:3
3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.
maria sio sawa na mariamu
Ngoja kwanza twende pole pole , sahihisha kwanza hakuna mwanamke anayejielewa akakataa ndoa. Mwanamke mpumbavu na asiyejielewa ndiye haweki ndoa kipaumbele.Hawa ni wale wasiojielewa wenye low self esteem, na masikini ambao wanataka kuolewa ili wapate unafuu wa maisha kupitia wanaume, tena nao idadi yao inaendelea kupungua siku hadi siku
Lakini wanawake wanaojielewa wameshaachana na huu ujinga wa kuabudu ndoa, wanaume wenyewe siku hizi mmeanza kukimbia majukumu yenu, unategemea mwanamke gani anayejielewa atahangaika na ninyi tena
Siku hizi wengi hawalazimishi ndoa tena na miaka inavyozidi kuenda, idadi ya wanawake wanaokataa ndoa inazidi kuongezeka na hapo sasa, ndipo mbivu na mbichi zitakapoanza kuonekana tulieni hivyo hivyo mbona hamjasema bado
Acha kupotisha uma kasome sifa za mke mwema kwenye vitabu vitakatifu. Je, yule mwanamke alikua hatafuti hela?Mkuu kwa dunia ya sasa ambayo wanaume wanataka wanawake nao watafute pesa, ili wasaidiane majukumu hakuna mwanamke atakubali kutawaliwa, with great authority comes great responsibility huwezi kukitawala usichokihudumia halafu kikakubali
Mi nilichoandika ndicho nilichomaanisha na ndio uhalisia uliopo kwenye vizazi vya leo na vinavyokuja, zama za wanaume kuwatishia ndoa wanawake na kutumia ndoa kama fimbo ya kuwachapia zinaanza kuisha, hilo mkubali mkatae bali ndio hali halisi hivyo cha kufanya wanaume ni kuanza kujiandaa tu kisaikolojiaNgoja kwanza twende pole pole , sahihisha kwanza hakuna mwanamke anayejielewa akakataa ndoa. Mwanamke mpumbavu na asiyejielewa ndiye haweki ndoa kipaumbele.
Hivi aliyeambiwa atakula kwa jasho lake ni nani ni mwanamke au mwanaume, sifa za mwanamke wa kwenye kitabu cha mithali ni maoni binafsi ya Nabii Suleimani, na si maagizo ya Mungu mwenyeweAcha kupotisha uma kasome sifa za mke mwema kwenye vitabu vitakatifu. Je, yule mwanamke alikua hatafuti hela?
Kasome alafu urudi hapa tena
Nadhani wewe ni mpumbavu Squared zaidi yangu. Kwahiyo unataka sote tuamini hiyo miungu yako? Haya eleza kipi unachokitumia ambacho hakijaletwa na meli. Mbona hatujakuona ukitupa nguo zako ukavaa magome ya miti. Pumbavu sana wewe. Haya tena, mbona wapanda magari unapotaka kusafiri, yameletwa na mizimu yako? Pumbavu sana.Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dume
Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dume