Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake, ni hivi ipo siku wanawake saba watamgombania mwanaume mmoja waitwe kwa jina lake ( awaoe)

Nikitendo cha muda tuu
 
Mzee unahasiraaa, sema umemwaga point tupu. Wahurumie mkuu ule ni mzagamuo wa kawaida tu kupunguza cost za lodge au kupanga vyumba viwili na kuepuka kubadilibadili madem na kuonyeshana mahaba ni jambo la kawaida tu 😆
 
Okay mkuu we have the right to disagree
 
Sijapenda title, kwanini useme wanawake na wakati wanaishi kijana wa kiume na wakike?

Sema wanachuo, vijana wa vyuo nk
Nimetumiwa wanawake kwasababu ,asiimia 99.99% wao ndiyo wanaocopy maisha batili ya ndoa haramu na kuyaleta kwenye ndoa halali
 
Bata ukichunguza sana hata anapoandaliwa na lile shombo shombo lake alilonalo humli, utaishia kuwaachia wengine tu wamle huku wewe ukiwaangalia wanajitafunia tu nyama
Malaya sio wa kufanya naye maisha

U can take a hoe out of the streets doesn't mean you can take away the streets out of her

You can't save a damaged woman

Malaya hafugiki
 
Malaya sio wa kufanya naye maisha

U can take a hoe out of the streets doesn't mean you can take away the streets out of her

You can't save a damaged woman

Malaya hafugiki
Yule aliemfuta Miguu Yesu alikua anaitwa Maria Ila hakua Bikra,
 
Kwani wewe kwa macho ya nyama huoni hata sasa wameanza kusema hakuna waoaji?
 
Andiko hili zuri ni kujutia haramisho la mafunzo ya jando na unyago.

Tulichokichagua ndo hiki kinachoendelea
 
Sijasoma mpaka mwisho ila mtoa mada unazungumzia maisha ya ndoa au maisha ya UMASKINI. Kama una pesa mke hatonuka moshi wa kuni au kufua kila siku.
 
mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake, ni hivi ipo siku wanawake saba watamgombania mwanaume mmoja waitwe kwa jina lake ( awaoe)

Nikitendo cha muda tuu
Mkuu Loading,

Hii umetoa wapi? Nataka sasa tufundishane.

Embu sema hayo maneno umeyatoa wapi?
 
Lete andiko tuone
Yule ni Maria

Yohana 12:3

3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.

4 Ndipo Yuda Iskariote, mmoja wa wanafunzi, ambaye baadaye alimsaliti Yesu, akasema, 5 “Kwa nini manukato haya yakuuzwa zikapatikana fedha nyingi wapewe maskini?”
 
Yule ni Maria

Yohana 12:3

3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.
Achana na Mariamu dada ya Lazaro mimi nilikuwa namzungumzoa huyu malaya

Luka 7:37-38

Neno: Bibilia Takatifu

37 Katika mji ule palikuwa na mwanamke mmoja kahaba. Naye aliposikia kuwa Yesu atakula nyum bani kwa yule Farisayo, alichukua chupa ya alabasta iliyojaa man ukato

38 akaenda, akakaa nyuma ya Yesu, karibu na miguu yake. Kisha akaanza kulia, machozi yake yakidondokea miguuni mwa Yesu, akayafuta kwa nywele zake. Huku akimbusu miguu na kuimiminia yale manukato
 
Ndio huyo pia Jina lake hilo hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…