Wanawake kuishi unyumba vyuoni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Dah!!! Wewe kama hujaendewa kwa Sangoma,sijui kwa kweli.


Kuna kona moja umeiruka. Sijui walikuwepo na manati karibu: hizo ndoa bandia, hujaongelea watoto. Na hilo mhimu. Chuoni kuna nini,mbona hawazai? Wakitoka kwenye hizo ndoa, kuzaa hamna. Nini shida!?
 
Utawala dume ndio unakusumbua,ke sio toys za me
Umekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
 
Umekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dume
 
Umekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Wake up and smell the roses, Tanzania President ni mwanamke, Namibia 🇳🇦 (one of my beautiful country),Leo wamepata vice president mwanamke!,endelea kuota
 
Umekuwa brainwashed na feminists wa kimagharibi. Kiasili mwanamume yuko juu ya mwanamke kimamlaka. Reference; vitabu vyetu vitakatifu, Biblia na Quran.
Mkuu kwa dunia ya sasa ambayo wanaume wanataka wanawake nao watafute pesa, ili wasaidiane majukumu hakuna mwanamke atakubali kutawaliwa, with great authority comes great responsibility huwezi kukitawala usichokihudumia halafu kikakubali
 
Wake up and smell the roses, Tanzania President ni mwanamke, Namibia [emoji1176] (one of my beautiful country),Leo wamepata vice president mwanamke!,endelea kuota
Bila kusahau Ethiopia moja kati ya nchi zilizoendelea Africa
 
Jina lake alikua anaitwa Maria, chukua hio
Mkuu haya ni majina tofauti kwa kuzingatia sheria za wayahudi za usajili wa majina

Yohana 12:3

3 Kisha Mariamu akachukua chupa yenye manukato ya thamani kubwa akayamimina miguuni mwa Yesu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu ya manukato.

maria sio sawa na mariamu
 
Sawa mkuu,
 
Ngoja kwanza twende pole pole , sahihisha kwanza hakuna mwanamke anayejielewa akakataa ndoa. Mwanamke mpumbavu na asiyejielewa ndiye haweki ndoa kipaumbele.
 
Mkuu kwa dunia ya sasa ambayo wanaume wanataka wanawake nao watafute pesa, ili wasaidiane majukumu hakuna mwanamke atakubali kutawaliwa, with great authority comes great responsibility huwezi kukitawala usichokihudumia halafu kikakubali
Acha kupotisha uma kasome sifa za mke mwema kwenye vitabu vitakatifu. Je, yule mwanamke alikua hatafuti hela?

Kasome alafu urudi hapa tena
 
Ngoja kwanza twende pole pole , sahihisha kwanza hakuna mwanamke anayejielewa akakataa ndoa. Mwanamke mpumbavu na asiyejielewa ndiye haweki ndoa kipaumbele.
Mi nilichoandika ndicho nilichomaanisha na ndio uhalisia uliopo kwenye vizazi vya leo na vinavyokuja, zama za wanaume kuwatishia ndoa wanawake na kutumia ndoa kama fimbo ya kuwachapia zinaanza kuisha, hilo mkubali mkatae bali ndio hali halisi hivyo cha kufanya wanaume ni kuanza kujiandaa tu kisaikolojia
 
Acha kupotisha uma kasome sifa za mke mwema kwenye vitabu vitakatifu. Je, yule mwanamke alikua hatafuti hela?

Kasome alafu urudi hapa tena
Hivi aliyeambiwa atakula kwa jasho lake ni nani ni mwanamke au mwanaume, sifa za mwanamke wa kwenye kitabu cha mithali ni maoni binafsi ya Nabii Suleimani, na si maagizo ya Mungu mwenyewe

Kama ninyi mnavyosema kwamba mwanaume kuwa na mke mmoja, yalikuwa ni maoni binafsi ya Mtume Paulo na si maagizo ya Mungu mwenyewe, nakusaidia tena Kasome 1 Timotheo 5:8 inasemaje kuhusu mwanaume kuhudumia familia yake kisha urudi hapa

Kama hamuelewi maandiko muwe mnauliza ninyi ndio muache kupotosha, na wanaume huwa mnachagua yale maandiko yanayowanufaisha ninyi tu ndio mnajifanya mnayafuata, ila mengine mfano yanayokataza uzinzi mnajifanya hamyaoni au mnawasakizia wanawake
 
Hiki kizazi cha nyoka MASIKIO WAMEWEKA MKUN DUNI, hawawezi kuwasikia waacheni waishi wanavyoona sahihi FAINALI UZEENI.

muhimu.
Tafuta wako aneenda na vigezo na masharti yako.
Pili kuza mwanaume binti ama kijana katika maadili mema, wafungulie dunia, wajue a to z halafu watajichgulia kuwa wanavyotaka, wape elimu ya kuweza kutambua na kuchanganua majambo.. Inatosha sana kwa mzazi.
 
Una teseka nini acha vijana waji frahishe waki maliza chuo wata nyooshwa
 
Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dume
Nadhani wewe ni mpumbavu Squared zaidi yangu. Kwahiyo unataka sote tuamini hiyo miungu yako? Haya eleza kipi unachokitumia ambacho hakijaletwa na meli. Mbona hatujakuona ukitupa nguo zako ukavaa magome ya miti. Pumbavu sana wewe. Haya tena, mbona wapanda magari unapotaka kusafiri, yameletwa na mizimu yako? Pumbavu sana.
 
Mwanamme atabaki kuwa juu. Achana na feminist theories za kuombea pesa za project kwa wazungu. Hutaki jinyonge.
Acha upumbavu huo, hivyo vitabu ndio vilivyo ku brain wash wewe, mimi ninaamini na kuabudu mizimu yangu huku lingusenguse, siamini vitabu hivyo vilivyoletwa na merikebu, na akili yako kuamini kuhusu utawala wa dume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…