Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
hata unywe maziwa pipa elfu saba ,,,huwez toa harufu nzuri.Ahsante kwa ushauri, je ni kila siku kwa muda gani ntaanza kuona matokeo ya harufu nzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata unywe maziwa pipa elfu saba ,,,huwez toa harufu nzuri.Ahsante kwa ushauri, je ni kila siku kwa muda gani ntaanza kuona matokeo ya harufu nzuri?
Kwanini ?hata unywe maziwa pipa elfu saba ,,,huwez toa harufu nzuri.
We jinuse utaona kama hutoi harufu afu leta mrejeshoKwan wanaume nao wanatoa harufu wakati wa sex? sperms zinanuka ama?
SOMA VZURI WAPI tuMEANZIA NDIO UTAELEWA ...
nijinuse wakati gani /We jinuse utaona kama hutoi harufu afu leta mrejesho
nani kakuambia vaginal secretions zina harufu nzuri?Kwanini ?
Na dawa yake ni MetronidazoleTrichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
TestKuna scientific prove kwa hili mkuu? Mbona kila nikijaribu kutafakari sipati? Ebu nisaidie kuprove scientifically
Mi mwanaume nitest ili iwaje? Jibu kuna scientific prove yoyote au blah blha kwa kuwa wamama wengi wana changamoto kwenye kizazi hiki?Test
Sasa kama mwanaume kama una mkeo au mchumba mwambie anywe mzeeMi mwanaume nitest ili iwaje? Jibu kuna scientific prove yoyote au blah blha kwa kuwa wamama wengi wana changamoto kwenye kizazi hiki?
Huna mpya wala huna facts. Endelea kudanganya wapumbavu. ByeeeeeSasa kama mwanaume kama una mkeo au mchumba mwambie anywe mzee
kiongozi unauliza makofi kituo cha polisi? usifanye ivo bana.Kwani una harufu mbaya ?
Mpumbavu ni wewe ambaye umekurupukia mada ambazo uzielewi nimekuambia ka prctce then uje hpaHuna mpya wala huna facts. Endelea kudanganya wapumbavu. Byeeeee
Hahaaaa, haya kuna scientific prove yoyote mwerevu mwenye kuanzisha mada? Nijibu basi usirukeruke.Mpumbavu ni wewe ambaye umekurupukia mada ambazo uzielewi nimekuambia ka prctce then uje hpa
Sikujibu kwasababu nimeshakwambia kajaribu af nitakujibuHahaaaa, haya kuna scientific prove yoyote mwerevu mwenye kuanzisha mada? Nijibu basi usirukeruke.
GarbageSikujibu kwasababu nimeshakwambia kajaribu af nitakujibu
Mbona mimi ni mfugaji kila siku nakunywa mtindi na maziwa fresh,lakini nisipopaka deodorant/roll on siku moja tu inakuwa shida,acha kudanganya watu.Hellow
Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu
Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Kuna watu wanakaza mafuvu washazoea kujiganga kwa mganga wa kienyeji na hiriziMtindi ukinywa glass Moja usiku na punje tatu za kitunguu Thoum ni bonge la tiba ya maradhi mengi ila kitunguu kikate japo vipande vitatu.
Yan Mimi Nina ushahidi kweny hili ni tiba ya magonjwa mengi tuMtindi ukinywa glass Moja usiku na punje tatu za kitunguu Thoum ni bonge la tiba ya maradhi mengi ila kitunguu kikate japo vipande vitatu.