Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

Hellow

Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu

Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Ushauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumu
 
Ushauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumu
Hii ni kwamba isipite siku bila kunywa ni kinywaji na sio chakula
 
Ushauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumu
umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja moshi alikua anakula kila siku dagaa na ugali ili asevu hela za kufanyia maendeleo...
jambo ambalo siwez fanya yan unajitesa dagaa daily kisa ununue kiwanja..unawalaza watoto njaa au chakula kidogo ili ujenge nyumba
Watun wengi hawajajua maana ya maisha
 
Kabisa mboga mboga za majani mabilinganya nyanya chungu bamia ni muhimu sana yaan jumamos unachemsha unakunywa supu morng
mchemsho wake ni mzuri...sasa mimi huwa nakaanga hayo makitu yote mixer nyama napika na kaugali dona baada ya hapo nakunywa maji ya kutosha....
nasubiri mdada mzuri mwenye tako ajichanganye kwenye final third yangu.
 
mchemsho wake ni mzuri...sasa mimi huwa nakaanga hayo makitu yote mixer nyama napika na kaugali dona baada ya hapo nakunywa maji ya kutosha....
nasubiri mdada mzuri mwenye tako ajichanganye kwenye final third yangu.
Ni mzuri ata kwa afya ila watu wamekazana kukaanga mayai na kula na ugali dah
 
Back
Top Bottom