Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
[emoji23]nilivo Hensamu unadhani atachomoa ?[emoji28][emoji28][emoji28]sawa...
Na utie juhudi ukweli ukweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]nilivo Hensamu unadhani atachomoa ?[emoji28][emoji28][emoji28]sawa...
Na utie juhudi ukweli ukweli...
Ntakuchamba badae[emoji23]Sasa si ndiyo Dadako...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wadhifa upo?[emoji23]nilivo Hensamu unadhani atachomoa ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo Sipatikaniki...Ntakuchamba badae[emoji23]
Ushauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumuHellow
Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu
Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
harufu nzuri nan amesema?Ahsante kwa ushauri, je ni kila siku kwa muda gani ntaanza kuona matokeo ya harufu nzuri?
Hii ni kwamba isipite siku bila kunywa ni kinywaji na sio chakulaUshauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumu
umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja moshi alikua anakula kila siku dagaa na ugali ili asevu hela za kufanyia maendeleo...Ushauri mzuri .......ila watumie na mbinu zingine piah Yaani kila siku Uwe mtu wa kunywa mtindi tu 😂😂unakinai .......Yaani kama nikwambie kila siku Uwe unAkula dagaa kuhifadhi bajet ya msosi ni ngumu
Wadhifa kama woteee[emoji23], atanitaka tu,nitah tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wadhifa upo?
Ilikua ina ute wa kutosha?Weekend nilipata pisi nikapiga deki nilishangaa sana sijasikia harufu yoyote
Kabisa mboga mboga za majani mabilinganya nyanya chungu bamia ni muhimu sana yaan jumamos unachemsha unakunywa supu morngHAWA WATU KILA SIKU WANAKULA CHIPSI NA KUSHUSHIA NA PEPSI BARIDI
WANAHARIBU MIFUMO NA MABADILIKO YA MIILI YAO
Kwahiyo ulishazoea kukuta shombo 😂Weekend nilipata pisi nikapiga deki nilishangaa sana sijasikia harufu yoyote
mchemsho wake ni mzuri...sasa mimi huwa nakaanga hayo makitu yote mixer nyama napika na kaugali dona baada ya hapo nakunywa maji ya kutosha....Kabisa mboga mboga za majani mabilinganya nyanya chungu bamia ni muhimu sana yaan jumamos unachemsha unakunywa supu morng
Ni mzuri ata kwa afya ila watu wamekazana kukaanga mayai na kula na ugali dahmchemsho wake ni mzuri...sasa mimi huwa nakaanga hayo makitu yote mixer nyama napika na kaugali dona baada ya hapo nakunywa maji ya kutosha....
nasubiri mdada mzuri mwenye tako ajichanganye kwenye final third yangu.
kabisa aise.....chipsi kama umeshindwa kuacha basi hata kwa mwezi mara moja au mbiliNi mzuri ata kwa afya ila watu wamekazana kukaanga mayai na kula na ugali dah
Sasa mkuu nani asemee harufu yako?, jinuse mwenyeweharufu nzuri nan amesema?
Kwan wanaume nao wanatoa harufu wakati wa sex? sperms zinanuka ama?Sasa mkuu nani asemee harufu yako?, jinuse mwenyewe