Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Waambie basi wanywe na ka wine kidogo Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alooo mnaitana kikubwa, ujumbe wa nani huu hebu mtagSijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Sijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Subutuuu Ili siku nikute pdf langu mahaliFanya jambo mzee
😂😂😂 acha izo bhnaSubutuuu Ili siku nikute pdf langu mahali
😂😂Ya kuongea wapi??
Imekuwaje?Haya[emoji23],ila hyo Profile badili bwana
Heka heka zako...Dada this..Dada lile....[emoji23]Umechoshwa na nini sasa ?
Sijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Maisha yenyewe mafupi haya acha tuenjoy😀😂 😂 wanawake wa jf wasela Sana Dah
Maisha yenyewe mafupi haya acha tuenjoy😀
Hahaa hatari😀😀Yan madem wa jf katikati ya show anaweza kukwambia wait kidogo nipokee simu 😂
mdogo wanguHellow
Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu
Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Unajipendelea kama kawaida yakoHii ni nyama ni best furendi
Kinyama😁😂 😂 wanawake wa jf wasela Sana Dah
😂😂😂Thank youu, ngoja nitumie then nijinuse after 2 weeks
NAKAZIA.Hellow
Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu
Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
😀 nakuita wewe mwenyewe Vishu😀Alooo mnaitana kikubwa, ujumbe wa nani huu hebu mtag
Jamani jamani kwahiyo tumeze na vitunguu kama vidonge? Mbona mnaruvuruga huko tumboni kutatengeneza pilau sasa😀 ahsante lolNAKAZIA.
Na vitunguu swaumu punje hata tatu unamezea na mtindi kisamaki utakisikia Kwa jilani😂😂😂