Hata mkioga kuna mwengne unakuta anaumwa fangus au pid kwaiy ugonjwa uko ndani hata ukioga uchafu utaondk ule WA nje Tu lkn harufu haiwez kata mpka atibiwe ugonjwa ndy kiharufu kitaka.But hamna Mkoba ambao haunuki, cha msingi ni kuoga kabla ya tendo