Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

But hamna Mkoba ambao haunuki, cha msingi ni kuoga kabla ya tendo
Hata mkioga kuna mwengne unakuta anaumwa fangus au pid kwaiy ugonjwa uko ndani hata ukioga uchafu utaondk ule WA nje Tu lkn harufu haiwez kata mpka atibiwe ugonjwa ndy kiharufu kitaka.
 
Jamani jamani kwahiyo tumeze na vitunguu kama vidonge? Mbona mnaruvuruga huko tumboni kutatengeneza pilau sasa😀 ahsante lol
😂😂😂Ndiyo ikiwezekn kunywa kutwa mara tatu kama dozi kitilapia sijui kinini utakisikia Kwa jilani🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
Wanawake kwa wanaume nawasihi Msinywe mtindi. Mtindi ni maziwa yaliyoharibika/chacha yaliyooza.
Ni sumu na sio nzuri kwa afya.

Ukitaka maziwa kunywa fresh yaliyopashwa.
 
370378786_788462823285790_2082825710690497822_n.jpg
 
Asante kwa kunipigia promo mleta uzi, nipo kiluvya madukani kwa bei za jumla na rejareja. Ukihitaji delivery tunakufanyia kwa gharama nafuu kuanzia lita tano na kuendelea. Hata hivyo, kwa ajili ya ku-boost immune yako, kung'arisha ngozi yako nk, karibu upate fresh milk.
 
Asante kwa kunipigia promo mleta uzi, nipo kiluvya madukani kwa bei za jumla na rejareja. Ukihitaji delivery tunakufanyia kwa gharama nafuu kuanzia lita tano na kuendelea. Hata hivyo, kwa ajili ya ku-boost immune yako, kung'arisha ngozi yako nk, karibu upate fresh milk.
Weka namba wakutafute
 
Hellow

Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata

Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu

Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Wanaume tunywe I Sana pombe inasaidia
 
Back
Top Bottom