Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
nipo kijana napambana na hali yanguMichuuu toto zur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo kijana napambana na hali yanguMichuuu toto zur
Fanya jambo mzeenipo kijana napambana na hali yangu
Tangu ununuliwe sim umekua msumbufu sana...🤨, na unapo elekea naona utakuja uanze na kuwafundisha mama zako namna ya kutuhendo baba zako...😕 kisa tu umeshafika daslam...😶Ila wew mzee aya
Hahah mwambie anipikonye alie nipa simu 😂Tangu ununuliwe sim umekua msumbufu sana...🤨, na unapo elekea naona utakuja uanze na kuwafundisha mama zako namna ya kutuhendo baba zako...😕 kisa tu umeshafika daslam...😶
Nawewe mdogo wangu una harufu?Ahsante kwa ushauri, je ni kila siku kwa muda gani ntaanza kuona matokeo ya harufu nzuri?
Acha mambo ya ajabu wewe mzee mie nimechukia juzi umeiba mtoto wamwenzioHiyo nafasi nilioacha wazi hapo juu ni kwaajili ya salam tu..😊
Haniii...🎶Acha mambo ya ajabu wewe mzee mie nimechukia juzi umeiba mtoto wamwenzio
Wanusaji mnakwama wapi?? 🤣Sijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Haya😂,ila hyo Profile badili bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia....
Kuna namna wanaume mnatubebaga ufala sana hapa Jukwaani.
😂Umechoshwa na nini sasa ?Kuna mtu anatafuta Mme Jukwaa la Mahusiano huko...
Hebu kajaribu mdogo wangu nimeshachoka.
Naomba hyo nyau😋Sijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Aya takribani nne na hakuna hata alama moja ya kituo au mkato!Hellow
Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata
Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu
Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Wanusaji mnakwama wapi?? [emoji1787]
Sijui harufu kama ni nzuri au mbaya bado sijapata mtu wa kuninusa
Wewe unajua kukosoa tu kama mtoto wakikeAya takribani nne na hakuna hata alama moja ya kituo au mkato!
Inasikitisha.
Uandishi wako unasikitisha sana.Wewe unajua kukosoa tu kama mtoto wakike
Yasitikie maisha yako kwazaUandishi wako unasikitisha sana.
Ya kuongea wapi??Af mambo mengine sio yakuongea hapa