Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mr passion

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2023
Posts
202
Reaction score
282
Nadhani ni jambo lisilopingika na la wazi kitamaduni na kiuhalisia pia sidhani kuna kutoelewa umuhimu wenu kwenye majukumu mliopaswa kuyatumikia na kuyafanya kila siku cha ajabu zaidi elimu ya magharibi inawatoa kwenye mfumo wenu na kiasi madhara yake ujitokeza hadharani.

Rudini kwenye maisha yenu kwenye mfumo wenu mnakoenda wala hamtaweza sababu hata Mwenyezi Mungu hakukosea kwenye uumbaji wake.
 
Ameumbwa kutumikia familia na sio kufanya kazi za kuleta pesa nyumbani uko ni kuungilia majukumu yetu wanaume
 
sio tu kanisani hata pia sio msikitini humu linaeleweka
Yeah ukishindwa thibitisha huyo Mungu wako asiye kuwepo unakausha tu .

Mungu hayupo na hauwezi kuthibitisha kutokuwepo kwake mpaka kwa waamini tu , unavunga tu kijana.
 
Mkuu unajuwa nilivyopigwa ban ID zangu zote nilikuwa naingia jamvin bila kulog in. Nikaona umebadilisha Avatar picha ukaweka ya mzee flan sijui Ayatollah nilimaind kichiz. Ban kuisha kurudi jamvin ukairudisha tuliyoizoea ya Jack sparrow maamaee. Kudos dogo
Hapana mkuu wala usijali uzuri mmoja mama yangu ni mwislamu tena yeye ana asili ya Omani kabisa na baba yangu ni mkristo mmatumbi piwa .
 
Kaoe wahdzabe wa huku hatuwezi kukuelewa mkuu, tofauti ya mwanamke na mwanaume ni jinsia tu..!!
Vingine wote tuko sawa..!! Hizo sheria zako za old stone age kasimulie wajukuu zako.! 😹
Hata uwe na maisha gani bado utahitaji msaada wa mwanaume kufanikisha ukweli ambao hampendi kuelezwa ukweli bado wewe ni dhaifu kwetu
 
Back
Top Bottom