Umuhimu wa kuheshimu wanawake utauona ukianza kupata watoto wa kike, ukianza ku-assume huyu binti yangu hapaswi kujua What is Biology kwa sababu tu ni mwanamke basi wewe mwenyewe utaona nonsense katka bandiko lako.
Mleta mada si kwamba haeshimu wanawake,alichoongea ndo heshima yenyewe,!!,mke ni kulea watoto na kutunza mji,mwanaume alete mahitaji mhimu baasi,,hivi mwajua ni raha sana mme arudipo kwake akapokewa na mkewe tena kwa bashasha kubwa,, saikological akili inapata utulivu na kufanya kazi vyema,na mke the same,tandani ndo usiseme!!,kuliko unapokewa na house boy au girl!??au hata mwanao,shame on you!!,
Sio kwamba tunaona wivu ye akienda kazini, mhimu ni familia kutunzwa eleweni hilo,umagharibi haufai!!,,ebu fikiria mke ni rubani au dreva atalea mda gani watoto na atawaleaje?mimba nk katika mazingira hayo itakuwaje!!?,,na kamwe haitatokea ile hamsini kwa hamsini!!!,shauri yenu lkn kama mwaona tunachosema hakina maana,uenda hathari hamjaziona au mwachukulia poa tu.