Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanawake waliumbwa ili kuwachangamsha Wanaume.
Sasa wanaume tumechangamka Mpaka tumekuwa machizi.
Hebu Fikiria, Tumeambiwa tuishi nae Kwa AKILI,
TAFSIRI YA NDANI ZAIDI NI KWAMBA MTU HUYO ANA MATATIZO. . . UKIKOSEA KIDOGO TU🤣🤣🤣
SASA =>JUU YA KIFUA CHA MWANAMKE, USIKU WA MANANE,TUNATOA AHADI NZITONZITO. . . . .
HIVI TUTABAKI SALAMA KWELI, , , HAKI YA MUNGU WANAUME TUMEUZA UFALME WETU.
 
Mleta mada si kwamba haeshimu wanawake,alichoongea ndo heshima yenyewe,!!,mke ni kulea watoto na kutunza mji,mwanaume alete mahitaji mhimu baasi,,hivi mwajua ni raha sana mme arudipo kwake akapokewa na mkewe tena kwa bashasha kubwa,, saikological akili inapata utulivu na kufanya kazi vyema,na mke the same,tandani ndo usiseme!!,kuliko unapokewa na house boy au girl!??au hata mwanao,shame on you!!,
Sio kwamba tunaona wivu ye akienda kazini, mhimu ni familia kutunzwa eleweni hilo,umagharibi haufai!!,,ebu fikiria mke ni rubani au dreva atalea mda gani watoto na atawaleaje?mimba nk katika mazingira hayo itakuwaje!!?,,na kamwe haitatokea ile hamsini kwa hamsini!!!,shauri yenu lkn kama mwaona tunachosema hakina maana,uenda hathari hamjaziona au mwachukulia poa tu.
tumezoea kuona wanapinga ukweli wanaojua na kuuelewa vizuri
 
Ukipeleka binti yako shule hata vidudu Ili aje kuwa mke bora hapo baadaye.
ndomana waarabu hili swala awataki kabisa na uwapenda sana wake zao na uwezi sikia vikelele kwao zaidi ya watu wa magharibu kuwavisha bibomu kichwa ikiwa wao tu wameshindwa mpa KAMALA nchi
 
Wanawake waliumbwa ili kuwachangamsha Wanaume.
Sasa wanaume tumechangamka Mpaka tumekuwa machizi.
Hebu Fikiria, Tumeambiwa tuishi nae Kwa AKILI,
TAFSIRI YA NDANI ZAIDI NI KWAMBA MTU HUYO ANA MATATIZO. . . UKIKOSEA KIDOGO TU🤣🤣🤣
SASA =>JUU YA KIFUA CHA MWANAMKE, USIKU WA MANANE,TUNATOA AHADI NZITONZITO. . . . .
HIVI TUTABAKI SALAMA KWELI, , , HAKI YA MUNGU WANAUME TUMEUZA UFALME WETU.
Lakini bado wanaamini kupitia cc 😄
 
Wanawake waliumbwa ili kuwachangamsha Wanaume.
Sasa wanaume tumechangamka Mpaka tumekuwa machizi.
Hebu Fikiria, Tumeambiwa tuishi nae Kwa AKILI,
TAFSIRI YA NDANI ZAIDI NI KWAMBA MTU HUYO ANA MATATIZO. . . UKIKOSEA KIDOGO TU🤣🤣🤣
SASA =>JUU YA KIFUA CHA MWANAMKE, USIKU WA MANANE,TUNATOA AHADI NZITONZITO. . . . .
HIVI TUTABAKI SALAMA KWELI, , , HAKI YA MUNGU WANAUME TUMEUZA
Lakini bado wanaamini kupitia cc 😄
Ni wale tu ambao Bado wanaamini kwamba Nyerere anaongoza Nchi
 
Kwahiyo Samia akapumzike Kule mchambawima kizimkazi
Nadhani ni jambo lisilopingika na la wazi kitamaduni na kiuhalisia pia sidhani kuna kutoelewa umuhimu wenu kwenye majukumu mliopaswa kuyatumikia na kuyafanya kila siku cha ajabu zaidi elimu ya magharibi inawatoa kwenye mfumo wenu na kiasi madhara yake ujitokeza hadharani.

Rudini kwenye maisha yenu kwenye mfumo wenu mnakoenda wala hamtaweza sababu hata Mwenyezi Mungu hakukosea kwenye uumbaji wake.
 
Nadhani ni jambo lisilopingika na la wazi kitamaduni na kiuhalisia pia sidhani kuna kutoelewa umuhimu wenu kwenye majukumu mliopaswa kuyatumikia na kuyafanya kila siku cha ajabu zaidi elimu ya magharibi inawatoa kwenye mfumo wenu na kiasi madhara yake ujitokeza hadharani.

Rudini kwenye maisha yenu kwenye mfumo wenu mnakoenda wala hamtaweza sababu hata Mwenyezi Mungu hakukosea kwenye uumbaji wake.
Sio hayo tu,hataa kuwa na pesa Mwanamke hatakiwi kuwa nazo,Dunia na familia haitakalika

Mwanamke akiwa na uwezo jamii itanyanyasika

Viburi na dharau kwa sana
 
Tunadnaganyana vipi? Kwani wewe rais wako ni jinsia gani? 😹
Acheni kujipa umuhimu, ni hiyo mikengele yenu ndo inawafanya tusifanane, km nyie mlivyo hamna visambusa 🤣
Mafeminine endeleeni kudanganyana na kujazana ujinga mnapokutana
 
Back
Top Bottom