Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mdangaji lazima amjue mdangaji mwenzie 😹Haya ni maoni ya wadangerj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdangaji lazima amjue mdangaji mwenzie 😹Haya ni maoni ya wadangerj
Feminine mpambanaji,huwezi kua na mume wewe,kama unae ni mariooSijaolewa sijaachika ila mume ninaye..! 😹
Yani sina mume sijaachika ila boyfriend nnaye. We huogopi? 🤣huwezi kua na mume wewe.
We bwege kweli, aliyekwambia wanawake wanatumika nani? Sema tunatumiana..!!Feminine mpambanaji,huwezi kua na mume wewe,kama unae ni marioo
Tutakutumia mpk uchakae
Sasa Mbona mnachoka mapema kama mnatumiana ,hujioni ulivyochakaa ngozi imechoka,siku usipopopaka hizo makeup zako unakua kama kinyago.We bwege kweli, aliyekwambia wanawake wanatumika nani? Sema tunatumiana..!!
Pôle sana kwa kujifariji, mi nikushauri wewe km umetamani kuwa mchepuko wa mwarabu ruksa, uzuri mwarabu hachagui mchepuko wa kuweka 😹Sasa Mbona mnachoka mapema kama mnatumiana ,hujioni ulivyochakaa ngozi imechoka,siku usipopopaka hizo makeup zako unakua kama kinyago.
Tutakuchakaza mpk unyooke tukudump,tuhamie kwa kwingine
Nyie mnaojifanya wajuaji ndio tunawataka tuwanyooshe
Utanyooka tuPôle sana kwa kujifariji, mi nikushauri wewe km umetamani kuwa mchepuko wa mwarabu ruksa, uzuri mwarabu hachagui mchepuko wa kuweka 😹