Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio hayo tu,hataa kuwa na pesa Mwanamke hatakiwi kuwa nazo,Dunia na familia haitakalika

Mwanamke akiwa na uwezo jamii itanyanyasika

Viburi na dharau kwa sana
ukweli wanaopinga wanawake apa
 
ndomana waarabu hili swala awataki kabisa na uwapenda sana wake zao na uwezi sikia vikelele kwao zaidi ya watu wa magharibu kuwavisha bibomu kichwa ikiwa wao tu wameshindwa mpa KAMALA nchi

Sijabisha. Wewe mtoe mwanao shuleni, Kuanzia utoto wake muandae aje kuwa mke bora tu kwa mme wake nothing else atakua mke bora kuwahi kutokea. Ukiwasonga wenzio nao waige mfano wako mtaandaa wake bora sana mapoyoyo. Change starts with you.
 
Nyie wanaume wa siku hizi mnadeka sana. Kila siku kulia lia tu na kulalamika humu jamvini hadi aibu!!!
Tatizo lenu ni moja c kudeka wala kulalamika tunawakumbusha kutovuka mipaka na majukumu yenu
 
Siwezi jibu mtu ambae akili za watoto 7,ndio akili ya Mwanamke mtu mzima 1
😹😹 Sugar ishapanda tayari..!!
Sikiliza without mapombou wewe km mwanamke tu.!!
Haya kwa huo uwanaume wako unaongoza nini zaidi ya mkia wako? 🤣
 
Sijabisha. Wewe mtoe mwanao shuleni, Kuanzia utoto wake muandae aje kuwa mke bora tu kwa mme wake nothing else atakua mke bora kuwahi kutokea. Ukiwasonga wenzio nao waige mfano wako mtaandaa wake bora sana mapoyoyo. Change starts with you.
Kwani mamaako mbona hakusoma je? ni poyoyo
 
Hayupo Mtu Mwenye AKILI NYINGI kama wewe anayeweza kukubali kwamba MUNGU NI HALISI
Ni Mpaka uzichomoe Akili zako za Shule na vyuo vya kibinadamu ndipo utakubali kwamba Mungu ni Halisi.
Akili za shule zipi na kwanini umefikiri nina akili za shule?
 
Tunadnaganyana vipi? Kwani wewe rais wako ni jinsia gani? 😹
Acheni kujipa umuhimu
Tena wamempa nafasi nyingine ya kugombea mwaka huu. Na katika ukumbi idadi ya wanaume ilikuwa ni kubwa kuliko wanawake. Kwa hiyo hao wanaume hawakuliona hilo???!!!!
 
Tena wamempa nafasi nyingine ya kugombea mwaka huu. Na katika ukumbi idadi ya wanaume ilikuwa ni kubwa kuliko wanawake. Kwa hiyo hao wanaume hawakuliona hilo???!!!!
Si ndo hapo, wote walituliza vipira wakampa mi five tena.!! Hakuna wa kutikisa mkia wake, ss hivi nye nye 😼😹
 
Tena wamempa nafasi nyingine ya kugombea mwaka huu. Na katika ukumbi idadi ya wanaume ilikuwa ni kubwa kuliko wanawake. Kwa hiyo hao wanaume hawakuliona hilo???!!!!
Unataka ya uvunguni na huyapati cc sio wapumbuvu wa lopolopo rudi kwenye mada acha kumwelezea mtu hapa rejareja tumeunga mada kwa mauzo ya jumla
 
Back
Top Bottom