Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
wanataka maandalizi....................
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ni huzuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanataka maandalizi....................
hutaki kuandaliwa wewe?Ikisimama panda...
Unataka mwanamke aanze kukuandaa mwanaume? kwamba uanze kunyonywa nyonywa kila mahali???
hii ya mwaka mpyaOii hizo mbwembwe unazotaka kijana utakuja kuwekwa DOLE.... Hebu piga show ukimaliza ondoka...
Msela unataka uandaliwe nini sasa...
Mambo ya hovyo kabisa haya.
hutaki kuandaliwa wewe?
kwa hiyo wasikate viuno?????????????Halafu mda wa tendo ndio kabisa, unakuta mwanamke yuko bize kukata mauno tu au kukutengea kama gogo na kuvuta shuka la tandiko.
Wangu haniambii hayo wala ya huyo mtoa mada.. mkipendana automatically tu mtaridhishana.. vizuri kabisa.Nani huyo anasema aache..?
Rudisha huyo mume wa mtu..😂
Mpaka tufike December tutakuwa hoiiiiNdo kwanza tarehe 03 leo[emoji28][emoji28]
Mh! Ngoja niache fujo..😀Wangu haniambii hayo wala ya huyo mtoa mada.. mkipendana automatically tu mtaridhishana.. vizuri kabisa.
Endelea tu konokono wewe 😂😂Mh! Ngoja niache fujo..😀
Bye..Endelea tu konokono wewe 😂😂
afadhali aiseeHahah hapana, maandilizi nayafanya mwenyewe kichwani...
Ukifika muda wa mechi ni kupiga kipyenga na mchezo kuanza...
kwanza mwanamke akikuandaa ujue kifuatacho ni hatari...........
Mpaka tufike December tutakuwa hoiiii