Wanawake, kwanini inawachukua muda mrefu ku-save namba ya mtu?

Wanawake, kwanini inawachukua muda mrefu ku-save namba ya mtu?

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari zenu

Nimekuwa nikijiuliza simpati jibu kwenye Hili suala yaani unakuta umemsimamisha binti mmoja na akumsaundisha na akakupa namba baada ya hapo ukawa unachati kama wiki hivi baadae ujipe gape kidogo then ukija kumtafuta unakuta kujua tangu ile siku mpaka kipindi unachat nae number yako alikuwa hajaisave hii imekaje?

Kwanini nyinyi wanawake inachukua muda mrefu kusave number ya mtu?
 
Nangoja majibu imewahi nitokea pia. Nimehudumia mwezi mzima kuna siku nashika simu aliomba nimpigie dada yake niweke loudspeaker (alikuwa busy na kupika) ile naingia kwenye calls naona namba yangu ipo uchi kabisa. Nilimuuliza akaanza kulia lia eti alisahau.
 
Unaweza kumjibu mwanao uliyempa ada aende shule kumbe hajafika bado shuleni anatumbua pesa na wasichana wasiosave number.
Weka neno mzazi ukimkalia kimya huyu hasara itarudi kwk km mzazi utalazimika kulipa ada x ya pili kwkutokukubali kijna abaki nyumbn, kemea hili mapema
 
Kama ni hivyo tu pekee kwanini inakuwa kwa wanawake wengi mnapenda kufanya hivi ni ngumu Sana kusave siku hiyohiyo mlioombwa number mnakuwa mnafikiri nini na kwanini inakuwa hivyo?
Kwa wengine sijui ila kwangu ndio nipo na huo utaratibu hadi kuwe na umuhimu wa kufanya hivyo vinginevyo nitasave namba za wangapi?
 
Back
Top Bottom