🤣🤣🤣🤣huyu ametishaaa taarabu🔥Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” 🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣huyu ametishaaa taarabu🔥
Hahaa na sasa tumejifunza, tutakua tunaweka sehemu ambayo wewe hautaona hadi huyo mgeni mwingine ili akukamate na ushahidi, umeacha kula udongo?😀😀Analetwa vizuri na ushahidi wako uchwara, kuna mmoja aliacha vitu nika vificha nika sahau udongo uliokuwa mezani nilishangaa naulizwa na aliyekuja siku hizi unakulaga udongooo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji56][emoji56]. Mpaka sasa ananiulizaga bado unakulaga udongooo,
Haaa haaa haaa, u made my day mtani, hii mbinu soon naitumia. Nikiulizwa khanga ya nani najibu yangu navaaga nikisikiliza taarab.Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabla ya kutoa povu umeelewa topic? Huyo maalum anayekuja kuna vitu kaacha au?Sisi wanaume akili zetu sometime ni chenga ww gheto lako huwezi lifanya km guest kila dem unampeleka tu.Nyumba yako ama chumba chako mpeleke mtu ulie na malengo nae Mnajaza mikosi tu kwanza ni ujinga kabisa huo.Hawa wa piga ilale ni kumalizana nao guest huko.Mnakaribisha na mikosi majumbani mwenu bila kujua.
Mkuu umetisha na mbinu za kijasusi!Mie naendaga kwa Wifi enu nilimpangia huko. Kuna vitu vyangu nimeviset najua akija baharia mwingine lazima vihamishwe.
Kuna Suti zangu nimezitundika sehemu na juu kabatini nimeweka beg (briefcase) sasa nikienda huwa nakagua vumbi. Nikikuta hakuna Alama za vidole kwenye vumbi najua hakuna ngedere aliyekuja.
Na naendaga bila taarifa.
Duh, kuondoa ushahidi wote eneo la tukio bila kuacha trace Siyo kazi rahisiAnaletwa vizuri na ushahidi wako uchwara, kuna mmoja aliacha vitu nika vificha nika sahau udongo uliokuwa mezani nilishangaa naulizwa na aliyekuja siku hizi unakulaga udongooo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji56][emoji56]. Mpaka sasa ananiulizaga bado unakulaga udongooo,
Kuna na ile ya mchuchumio akasema amavaa akiwa anabadilisha bulb, wanaumeee🙌Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” 🤣🤣🤣
Sijawahi fanya hivyo ila kuna siku muzee alinisimulia waliokuwa wanamuachia vitu kbl hajanipata😂😂 hii tabia sio huku tu hata huko mambele wanayo sana😀😀😀😀High heels? Na nyie kwanini mnaviacha jamani