Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau udongoSahivi tutakua tunakuja na ushahidi wa nguo hata 3 moja inaachwa bafuni, nyingine kabatini, nyingine uvunguni, ili ukificha ushahidi wa bafuni bado wa kabatini na uvunguni utakuumbua tu. But why tusitulie tu na mpenzi mmoja jamani?[emoji3][emoji2222]
Mimi siachi lakini ajabu alikuwa anaviomba vibaki hata nikisafiri viwepo hapo kwake na nikirudi navikuta na nikivichukua alikuwa hatakiWewe huachi??
😂😂😂😂Kiliachwa kitenge, katika kujitetea ikabidi niseme siku hizi situmii taulo nikienda kuoga. Kutakuwa mwaminifu ni mzigo manake kunataka uwe sharp sana.
Duh hapo sasa maana sijui hata jina moja la wimbo wa taarab😀😀😀😀😀Taarabu gani ukiulizwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KUNA MMOJA ALIKUA ANATUMIA MAFUTA MENGI MNO KWENYE MBOGA,NIKAMUAMBIA MAMAAA UNANITAFUTIA MAGONJWA YA MOYO??Naongezea hapo ladies mkikuta blue band, tray za mayai na makopo ya maziwa hasa NIDO Kwa nini mnatumia Kwa fujo kama kesho hamji tena?
AAAAH JF zinapigwa kambaaa aise😛😛😛Yule dada alikuja na picha mbili za ukutani moja alibandika sebulen nyingine akaweka chumbani. Ya sebuleni ilikuwa ya fremu ya chumbani ilikua ukutani yaani ukiibandua inachanika.
Ahh nina mbinu zangu hizo aisee hatari sana.. mie hata nikienda kulewa kuna namna ya kuseti glass (nikitoka kwenda Washroom) kama imeguswa au kuwekwa kitu najua.Mkuu umetisha na mbinu za kijasusi!
Hii sio ngeni ni ya enzi za 1960!Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Mkuu yule dada aliambiwa na wambea kuna mtu anakujaga sasa akafatilia lakini akakosa ushahidi. Na tayari ana Pete ya uchumba kidoleni. Usiombe kukutana na wanawake wakorofi.AAAAH JF zinapigwa kambaaa aise😛😛😛
Wewe kiboko!Umenkumbusha enzi za ujana wangu, nikikuta kanga na mie naacha chpi yani jamaa anakua kama muuza mitumba
kuna mmoja nishawahi kutana nae mtu wa iringa aise ni mkorofi ni mfupi ila ana balaaa,,,nilimpiga mkwara mmoja mpaka akawa ananiogopaMkuu yule dada aliambiwa na wambea kuna mtu anakujaga sasa akafatilia lakini akakosa ushahidi. Na tayari ana Pete ya uchumba kidoleni. Usiombe kukutana na wanawake wakorofi.
Huyu sasa ni machame.kuna mmoja nishawahi kutana nae mtu wa iringa aise ni mkorofi ni mfupi ila ana balaaa,,,nilimpiga mkwara mmoja mpaka akawa ananiogopa