Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini lakini?

Umenikumbusha hiyo moja nilisoma mahali...Demu alikuta highheels kwa jamaa...
Akamuulizia ni za nani? Jamaa akamjibu huwa anavaa wakati anaanika nguo sababu kamba ziko juu sana[emoji1]
 
Naongezea hapo ladies mkikuta blue band, tray za mayai na makopo ya maziwa hasa NIDO Kwa nini mnatumia Kwa fujo kama kesho hamji tena?
KUNA MMOJA ALIKUA ANATUMIA MAFUTA MENGI MNO KWENYE MBOGA,NIKAMUAMBIA MAMAAA UNANITAFUTIA MAGONJWA YA MOYO??
KUMBE CHIEF MWENYEWE NILIKUA NATARGET BAJETI KALI YA MAFUTA
 
Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii

Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀

JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀

MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?

AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?

Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Hii sio ngeni ni ya enzi za 1960!
 
Mkuu yule dada aliambiwa na wambea kuna mtu anakujaga sasa akafatilia lakini akakosa ushahidi. Na tayari ana Pete ya uchumba kidoleni. Usiombe kukutana na wanawake wakorofi.
kuna mmoja nishawahi kutana nae mtu wa iringa aise ni mkorofi ni mfupi ila ana balaaa,,,nilimpiga mkwara mmoja mpaka akawa ananiogopa
 
Back
Top Bottom