Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Kaka tuna akili sawa, huwa hata nikitoka kwenda mahali na-scan nyumba nzima na naweka alama zangu, nikirudi ntajua tuu kama kuna mtu kagusa kitu changu au katumia vitu vyangu, nakariri hadi level ya maji nilioacha kweny chupa ili mtu asije akaongeza kitu kibaya.

Inabidi uishi kama jasusi.
Ewaaa...
 
Mie naendaga kwa Wifi enu nilimpangia huko. Kuna vitu vyangu nimeviset najua akija baharia mwingine lazima vihamishwe.

Kuna Suti zangu nimezitundika sehemu na juu kabatini nimeweka beg (briefcase) sasa nikienda huwa nakagua vumbi. Nikikuta hakuna Alama za vidole kwenye vumbi najua hakuna ngedere aliyekuja.

Na naendaga bila taarifa.
Anagongewa location ingine!!

Acha kuchunga mwanamke we jifanye uko bize na mambo Yako kama anatoka utajua TU!hakuna siri hapa ze world!!
 
Mimi siachi lakini ajabu alikuwa anaviomba vibaki hata nikisafiri viwepo hapo kwake na nikirudi navikuta na nikivichukua alikuwa hataki
Hata Hao waliokuwa wanaenda walikuwa wananijua kwaiyo hawaoni maajabu ,[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna day nafanya usafi goto nikakuta pichu of which sina taarifa kamili ni ya nani.

Nikaamua kuitupa.

Siku mwenyewe anaiulizia nikamwambia kwani uliweka wapi mm sijaiona.

Akatafuya akachoka.
 
Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii

Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀

JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀

MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?

AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?

Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Sasa hzi ni Gani Tena 😁😁😁
 
Back
Top Bottom