Wanawake....let's be kind to men!!

Wanawake....let's be kind to men!!

Nafahamu hilo,
Ila huyu naweza sema ni mkorofi, maana anaeeza kutafuta sababu yoyote ile ili kunikwaza tu

Pia anajaribu kunitawala yaani anataka mimi niwe chini yake ( naweza kusema anataka mimi niwe mwanamke na yeye awe mwanaume )

Mfano hii leo na mvua hii inayonyesha imetokea dharula anataka mi nikamchukulie kitu sokoni ( katoka kujifungua ) mi nikamwambia na mvua siwezi kutoka kwa nini asingenunua au asingeniagiza tangu jana nirudi nacho mpaka aniagize leo asubuhi muda anaotaka kutumia?

Akajifanya kukasirika kufika saa 17:23 mvua ikapoa nikataka kwenda kumchukulia anadai basi kaghairi, kufika saa 20:00 anamwambia mzee kuna kitu anahitaji mimi nikamnunulie, mzee kuja kuniambia mimi nikapiga kimya

HUYU ANATABIA NYINGINE AMBAYO HII NDO ITAKUWA SABABU KUU YA KUMTALIKI
NI KWAMBA ANAWEZA KUNIKOROFISHA MAKUSUDI MWISHO WA SIKU MIMI NDO NAONEKANA MBAYA MAANA HUWA ANATABIA YA KUWAAMBIA NDUGU ZAKE NA HUYU RAFIKI YAKE AMBAYE NI MKE WA MPANGAJI MWENZANGU NA MAMA MWENYE NYUMBA

NA WAO BILA KUCHUKUA MAELEZO YA PANDE ZOTE MBILI WAISHIA KUNIONA MIMI MBAYA

Wacha niishie hapa maana mambo yapo mengi sana na hapa nilipo tayari nimeshaita wanafamilia kwa ajili ya kikao kesho naamini kesho ndo nitatoa maamuzi rasmi maana huyu mtoto wa pili hataki mimi nitoe jina anataka ampe yeye jina la mama yake wakati mtoto wa kwanza aliniambia nisitoe jina la kulithi kutoka kwa babu wala bibi ila yeye anataka kumpa

Kupika chakula kagoma badala yake kaenda kununua chips kala na mtoto mi kula kwa mama ntilie

Hayo yote niliyosema yametokea leo bado sijasema ya siku za nyuma yaliyopelekea niwe nampiga makofi

Nasubiri amalize arobaini mimrudishe kwao maana kikao cha kesho wanafamilia nitawajulisha hili tu basi

AISEEE...! NAONA BASI INATOSHA NDOA IMEKUWA NDOANA
Mkuu VIP mlifanikiwa kuweka mambo yenu sawa
 
haya mambo bana!
Yani mwanzo mnaamini hayawaathiri, kumbe yanawatafuna ile mbaya!
Mpk kufika baadae mmeshalika ile mbaya!
Mnafikia uamuzi mliotakiwa kufikia siku nyingiiiii!#
Af unajiona ulichelewa mara ghafla unajiona uliwahi.
Mradi tafarani!
Ila uliandika kitu kizuri!
Shida ni kuwa pengine ulikuta hiyo situation ni second phase/or 3rd.
Yani uliikutia katikati, ilishaanzaga na tukio au matukioooooo, mpka ikafika ukaikuta hapo!
Kubwa nililojifunza mpk umri huu.
Mahusiano /Ndoa inataka both efforts, yani mutual kabisa kabisa. Hata aliyekosewa naye a give in kwenye kujaribu kutoa fursa ya kuombwa msamaha!
na aliyekosea pia!
Ila iwapo WOTE , hakuna anayesumbuka kusogeza hatua kutoka kwenye pole aliyosimama!

Ah TEMEKE hii hapa!
Na wale wasivyotaka kesi za mauaji ziongezeke,ah wanawapa tu gamba lenu kirahisiiii!
snowhite ...kwanza nafurahi kukuona ona jukwaani siku hizi!😊

Nakubaliana na wewe! 💯

Alafu kuna muda hata wakoseaji huwa wanafanya mambo yanakua so much worse. Unakuta mtu kakosea jambo ila adhabu anayopewa inazidi kosa kwa mara nyingi sana. Hamna chakukutana katikati, hamna chakusikilazana wala kuelewana...ni mwendo wa Ulinikosea, so you deserve whatever crap I throw at you tu mpaka mkoseaji nae anageuka mkosewaji.

I've been there...🥴
Na sikuona how unfair I was being to him mpaka nilivyojiweka kwenye nafasi yake.🙈
 
snowhite ...kwanza nafurahi kukuona ona jukwaani siku hizi!😊

Nakubaliana na wewe! 💯

Alafu kuna muda hata wakoseaji huwa wanafanya mambo yanakua so much worse. Unakuta mtu kakosea jambo ila adhabu anayopewa inazidi kosa kwa mara nyingi sana. Hamna chakukutana katikati, hamna chakusikilazana wala kuelewana...ni mwendo wa Ulinikosea, so you deserve whatever crap I throw at you tu mpaka mkoseaji nae anageuka mkosewaji.

I've been there...🥴
Na sikuona how unfair I was being to him mpaka nilivyojiweka kwenye nafasi yake.🙈
Nimekuja kupasha maarifa kidogo.
pengine nikarudi Temeke,niwaambie acheni wehu nyie, hem chukueni gamba lenu!
Ukweli kabisa mimi kuna vitu give or take, naona kabisa nilikuwa kama na hasira sana vile!
Kama nilikaza sana yani!
We bana weeee fresh tu kwanza na ye alikaza ,sa hiz sasa tunaulizana ila ilikuwaje ?
Tunacheka basi kila mtu anaendelea na chaka lake!
Uzuri we are still friends, gives us a lot of kujicheka although we both ok not to go back tulikokuwa!
Kuna vitu are best, vikibaki vilivyo!
I for one , i love the woman i am becoming and happy for him anavozidi kujipata.
 
Back
Top Bottom