Wanawake mkikosana kidogo tu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea

Wanawake mkikosana kidogo tu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea

Hivi ni kwanini unaweza ukajitoa kwa mwanamke wako ukampa kila kitu yaaan,wengine hadi wanawalipia mpaka ada zao vyuoni wakiwa masomoni huko LAKINI mkikosana kidg tuu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea anakuacha unabaki unalia nakujiona una mikosi..??
Pole sana, huna haja ya kuendelea kulia hakuwa wa kwako huyo. Sikiliza wimbo IT IS NOT EASY na mwingine Whisky Lullaby's zitakufariji kidogo.
 
Wewe tenda wema uende zako. Ulipokuwa unamfanyia hayo si ulikuwa unapewa mbususu? Sasa kwa vile umemtendea wema ndiyo awe kifungoni hata ukifanya utopolo (au akipata mwingine bora zaidi yako) usipigwe chini kisa eti ulimtendea wema?

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Chukulia wema wako kama ni sadaka. Ukilipwa mema sawa. Ukiambulia shubiri napo sawa. Binadamu ni kiumbe mtata sana na kumwekea mategemeo yenye mlengo mmoja ni kujitafutia matatizo tu. Live in the present. Timiza majukumu yako kwa mpenzi wako. Ukipewa hiyo mbususu itandike sawasawa...and expect nothing more, nothing less...Utaishi katika uhalisia zaidi.

#KuchapiwaHakuepukiki
#HawaraHasomeshwi
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
 
Kaa kwa kutulia kijana upendo haununuliwi. Yaani unampa vyote hivyo ukitegemea akupende nyambafu acha muumizwe mpaka akili iwakae sawa.

Watu kama hao/wewe sio wa kupewa pole maana ni mambo ya kujitakia hayo. Labda nikwambie kitu ndgu yangu katu usije mgharamia mwanamke kwa kutegemea upendo zaidi au ndoa au chochote toka kwake. We fanya kama unasaidia tu na tena msaada wako uakisi kiwango chako na usipojiskia kumpa usimpe si ni zako mzee.
 
Nadhani shida hatupati wanawake sahihi

Mwenye matako makubwa anapata mwenye hela, mwenye tabia nzuri anapata mwenye tamaa

Wewe umepata mwanamke anayetaka mali nyingi na six pack na hivi vitu havikai pamoja, Au mwaaume anayetaka mwanamke mwenye shape ya kinyamwezi na sura ya kinyarwanda na kucha kama jini alafu awe mcha mungu, anakufulia na kukupikia chakula kizuri no haikai

Watu wakikitana wanaopendana kweli TRUST me hutasikia ngonjera kama hizo, tutafute pair zetu kwa makini
 
Mpwa kamaliza weekend vibaya....dah ila kaepushiwa gharama za Christmas na New year. Angeweza kuendelea kuhudumia kisha utamu apewe mwingine yeye aishie kutuma zile jumbe za kufowadi za New Year na Christmas
 
Nadhani shida hatupati wanawake sahihi

Mwenye matako makubwa anapata mwenye hela
mwenye tabia nzuri anapata mwenye tamaa

Wewe umepata mwanamke anayetaka mali nyingi na six pack na hivi vitu havikai pamoja, Au mwaaume anayetaka mwanamke mwenye shape ya kinyamwezi na sura ya kinyarwanda na kucha kama jini alafu awe mcha mungu, anakufulia na kukupikia chakula kizuri no haikai

Watu wakikitana wanaopendana kweli TRUST me hutasikia ngonjera kama hizo, tutafute pair zetu kwa makini

Point sana mkuu..chukua like
 
Mpwa kamaliza weekend vibaya....dah ila kaepushiwa gharama za Christmas na New year. Angeweza kuendelea kuhudumia kisha utamu apewe mwingine yeye aishie kutuma zile jumbe za kufowadi za New Year na Christmas

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee ni kweli ngoja niwe mpole huenda nimeepushiwa mambo ya mwaka mpya na Christmas [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kaa kwa kutulia kijana upendo haununuliwi. Yaani unampa vyote ivyo ukitegemea akupende nyambafu acha muumizwe mpaka akili iwakae sawa.

Watu kama hao/wewe sio wa kupewa pole maana ni mambo ya kujitakia hayo. Labda nikwambie kitu ndgu yangu katu usije mgharamia mwanamke kwa kutegemea upendo zaidi au ndoa au chochote toka kwake. We fanya kama unasaidia tu na tena msaada wako uakisi kiwango chako na usipojiskia kumpa usimpe si ni zako mzee.

Noted
 
Wewe tenda wema uende zako. Ulipokuwa unamfanyia hayo si ulikuwa unapewa mbususu? Sasa kwa vile umemtendea wema ndiyo awe kifungoni hata ukifanya utopolo (au akipata mwingine bora zaidi yako) usipigwe chini kisa eti ulimtendea wema?

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Chukulia wema wako kama ni sadaka. Ukilipwa mema sawa. Ukiambulia shubiri napo sawa. Binadamu ni kiumbe mtata sana na kumwekea mategemeo yenye mlengo mmoja ni kujitafutia matatizo tu. Live in the present. Timiza majukumu yako kwa mpenzi wako. Ukipewa hiyo mbususu itandike sawasawa...and expect nothing more, nothing less...Utaishi katika uhalisia zaidi.

#KuchapiwaHakuepukiki
#HawaraHasomeshwi
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani

Kweli aisee[emoji122][emoji122][emoji122]chukua like
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee ni kweli ngoja niwe mpole huenda nimeepushiwa mambo ya mwaka mpya na Christmas [emoji119][emoji119][emoji119]
Akirudi kesho utampokea??
 
Back
Top Bottom