Wanawake mkikosana kidogo tu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea

Wanawake mkikosana kidogo tu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea

Nje ya topic kidogo,...Ni makosa kuamini kwamba mwanamke anatakiwa akupende kwasababu tu ulimtendea wema kwenye jambo flani. Ni makosa kutumia wema wako kama hukumu kwa mwanamke endapo ataenda kinyume na matarajio yako. Ukiamua kumsaidia mwanamke we msaidie tu bila kutegemea fadhila au kulipwa wema wako. Mwache mwanamke akupende yeye mwenyewe automatically lakini usitumie wema ulomtendea kama dhamana

kabisaaaaa kula like
 
Hahahaha sasa mzee ukifanya hivo inamaana hautokuja uoe..??
Kwa sasa naona ndoa haina maana kwangu. Unaweza ukala mbususu bila stress ya nini uweke mwanamke ndani ambaye anakuvumilia ukiwa na ndala ukiwa huna unaanza ambiwa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom