Wanawake mkikosana kidogo tu anasahau wema wote(upendo) uliomtendea


kabisaaaaa kula like
 
Hahahaha sasa mzee ukifanya hivo inamaana hautokuja uoe..??
Kwa sasa naona ndoa haina maana kwangu. Unaweza ukala mbususu bila stress ya nini uweke mwanamke ndani ambaye anakuvumilia ukiwa na ndala ukiwa huna unaanza ambiwa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…