Wanawake mkikutana na wenza wenu msivae suruali zinazobana, mnatia aibu!

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Ndugu zangu,

Kuna tabia ya siku hizi ya wanawake kupenda kuvaa suruali. Kiukweli sio vazi baya ila kuna baadhi yao linawadhalilisha kwenye jamii. Mtu katoka kukutana na mwenza wake kimwili then kavaa suruali iliyobana bila hata mtandio wa kumstiri ni aibu. Nawasanua tu. No malice to anyone.
 
Kama ni mchafu itamfanya anuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…