Umemkatili sana mwenzakoMkuu ulisema kule UTT una sh ngap π€
Acha ujinga hili sio jukwaa la uwekezaji
Mkuu si unajua jamaa akiweka mambo suruali zinakuwa tepetepe πππ aibu inaanzia hapoUkienda kwa baby Vaa kigauni cha kuachia, kisket cha kupepea yani Muda wowote Filimbi ikilia mnaenda Vitani..
Masuruali achieni wafanya photoshoot nyie wadada msikaze mafuvu muelewe
Kama ni mchafu itamfanya anukeNdugu zangu,
Kuna tabia ya sikuhizi ya wanawake kupenda kuvaa suruali. Kiukweli sio vazi baya ila kuna baadhi yao linawadhalilisha kwenye jamii. Mtu katoka kukutana na mwenza wake kimwili then kavaa suruali iliyobana bila hata mtandio wa kumstiri ni aibu. Nawasanua tu. No malice to anyone
Mkuu hayo mambo usafi usipozingatiwa utakinai kila mwali anaepita mbele yakoSi unajua mageto ya uswazi uatajisafisha saa ngapi ndugu ππ
Take care maana hutoaminiSister. Hutaki kunipa tundaππ€π€ acha hizo bana