Wanawake mkikutana na wenza wenu msivae suruali zinazobana, mnatia aibu!

Wanawake mkikutana na wenza wenu msivae suruali zinazobana, mnatia aibu!

Ndugu zangu,

Kuna tabia ya sikuhizi ya wanawake kupenda kuvaa suruali. Kiukweli sio vazi baya ila kuna baadhi yao linawadhalilisha kwenye jamii. Mtu katoka kukutana na mwenza wake kimwili then kavaa suruali iliyobana bila hata mtandio wa kumstiri ni aibu. Nawasanua tu. No malice to anyone
Nakazia....siketi fupi
 
Back
Top Bottom