Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Kwann?Take care maana hutoamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann?Take care maana hutoamini
Kwa sababu hutoaminiKwann?
🤢🤮Kweli kabisa coz bodaboda wanalalamikia hilo
hujamwelewa threader, rudia tena kusoma, zingatia mtandio kuficha aibu, au weye hunaga aibu bi shost?Tuvae mabwanga kama ya Pepe kalle kweli, aaah mimi na za kubana kama kidole na pete.
Nakazia....siketi fupiNdugu zangu,
Kuna tabia ya sikuhizi ya wanawake kupenda kuvaa suruali. Kiukweli sio vazi baya ila kuna baadhi yao linawadhalilisha kwenye jamii. Mtu katoka kukutana na mwenza wake kimwili then kavaa suruali iliyobana bila hata mtandio wa kumstiri ni aibu. Nawasanua tu. No malice to anyone
, 🤣🤣🤣🤣hujamwelewa threader, rudia tena kusoma, zingatia mtandio kuficha aibu, au weye hunaga aibu bi shost?
amshapopo hebu njoo, kwahiyo ukitoka kujigjig unachafuka ama? Hizo suruali za kubana zinahusikaje? Mtu anaweza kuvaa chochote na usimjue, kama katoka kupeana raha. Wewe umeelewaje? granitizedhujamwelewa threader, rudia tena kusoma, zingatia mtandio kuficha aibu, au weye hunaga aibu bi shost?
Kama ukitoka kudo na mwamba huaibiki barida
Kikombe kikijaa lazima aibu ndogondogo 😂 😂amshapopo hebu njoo, kwahiyo ukitoka kujigjig unachafuka ama? Hizo suruali za kubana zinahusikaje? Mtu anaweza kuvaa chochote na usimjue, kama katoka kupeana raha. Wewe umeelewaje? granitized
Hakuna kuoga mkimaliza e?Kikombe kikijaa kahawa