Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatupa tabu kuwavua wakati wa mnyanduoTuvae mabwanga kama ya Pepe kalle kweli, aaah mimi na za kubana kama kidole na pete.
I second this motionUkienda kwa baby Vaa kigauni cha kuachia, kisket cha kupepea yani Muda wowote Filimbi ikilia mnaenda Vitani..
Masuruali achieni wafanya photoshoot nyie wadada msikaze mafuvu muelewe
Nipeni nimtulize[emoji23][emoji23]
During my younger age nilisha mvuaga mtu kwa mkasi , issue ikaja baada ya tendo ndo majuto yakaanza....Silipendi hilo vazi only cause linanipa shida sio mimi tu ila wote wawili muda ukifika linatupa shida.
Unataka niachike wewe 😅😅😅😅😅 curvy ipo ile yenyewe.. mambo ya Neema za ..... From MeruBantu umenisisimua😍..sharti ya suruali ya kubana uwe na curvy booty..Je uko hivyo?
Tatizo lenu ni moja. Mnataka kuvuana kama ugomvi. Mnatakiwa kuwa Romantic, taratibu kwa kujinafasi. Unaivua kama hutaki, huku unataka. Unatumia hata meno kuivuta taratibu KindeenaMnatupa tabu kuwavua wakati wa mnyanduo
ati ni kwa sababu huna meno umebaki magegoAiseey
Sass nataka nivute kwa ulimi
mmh wewe utakua katoto katundu kataalamunaMagauni sijui sketi ni nguo sizipendi kabisa. Tuvumiliane.
Vaa kikoi au kanga mojaMagauni sijui sketi ni nguo sizipendi kabisa. Tuvumiliane.
Sawa rafiki.Vaa kikoi au kanga moja
Tupia picha basi ukiwa kwenye leggings au biker shorts 😜Tuvae mabwanga kama ya Pepe kalle kweli, aaah mimi na za kubana kama kidole na pete.
😂😂😂😂😂Mkuu ulisema kule UTT una sh ngap 🤔
Saizi hauwekezi tena UTT unawekeza kwenye pisi mbona wote ni uwekezajiAcha ujinga hili sio jukwaa la uwekezaji