Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐๐๐Ukienda kwa baby Vaa kigauni cha kuachia, kisket cha kupepea yani Muda wowote Filimbi ikilia mnaenda Vitani..
Masuruali achieni wafanya photoshoot nyie wadada msikaze mafuvu muelewe
Una shangaa nini wakati wote ni hawa amini mungu wanavaa wanavyotaka sababu sheria za dini zao kiufupi ni waasiNdugu zangu,
Kuna tabia ya sikuhizi ya wanawake kupenda kuvaa suruali. Kiukweli sio vazi baya ila kuna baadhi yao linawadhalilisha kwenye jamii. Mtu katoka kukutana na mwenza wake kimwili then kavaa suruali iliyobana bila hata mtandio wa kumstiri ni aibu. Nawasanua tu. No malice to anyone
๐๐๐ sa unacheka nini?๐ Daaah! Nipo naye hapa kaivaa. Ananiuliza nacheka nini?
Nimemwambia JF kuna mtu kajinyea.
Watu wana visima muda wote chemchem zinamwagikaHakuna kuoga mkimaliza e?
Nawaza nikimshauri kinachoshauriwa hapa simu yangu itaaga dunia.๐๐๐ sa unacheka nini?
Haha hapana,, sio wote wakimaliza kujigi mishahawa inatokaNawaza nikimshauri kinachoshauriwa hapa simu yangu itaaga dunia.
Uchokozi ๐Mkuu ulisema kule UTT una sh ngap ๐ค
Hadi hapa bila shaka nishaelewa mada.Mtandio kidogo kuficha aibu ndogondogo [emoji23][emoji23][emoji23]