JF kwa kupenda visa vya watu πππKilishawahi tokea kisa?
lolAlaa
Unanichota mpk namwagikia hahahahahKwamba nakuchota au π
Yani usingetwambia tungekifuata kisa PMJF kwa kupenda visa vya watu πππ
Nilichomaanisha nishawai kua na mtu wa dizaini ya anaemsemea mtoa mada most ni marafiki au hata ndugu hua naona wanapost post wapenzi wao
So at the end i figured that hawajiamini and in most cases they r all trying to prove us wrong
Ushaanza gubu tena[emoji23][emoji23][emoji23], wakati nyie ndio mnatuvuruga.Yapo dada tusijifanye wahindi wakat tunadate na wabongo waliovurugwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nafuatilia comments zako kwa ukaribu sana... [emoji1]Namtoa wapi [emoji1787]
Kwanini mkuu πNafuatilia comments zako kwa ukaribu sana... [emoji1]
.Ndio nashangaa unadanganya umma hapa, haya katubu fastaaa
Eti "si nakataa", tone ya kudeka kabisa hii.. [emoji23]Si nakataa
Mkuu usiseme hivyo, labda kama hujapenda.Wakikua wataacha. Siku hizi hata demu wangu nimkute live kitandani na mwamba sioni ajabu. Kupost ndio kabisaaaaaaaaa namuona kiazi
Hivi wewee umeniona unadhani mie saizi yako mie mdogo mbichi na hitaji mwanaume mashine upo?? Sio wanaume suraNani anataka mazoea na wazee sasa ?
Eti mbichiπ€£π€£Hivi wewee umeniona unadhani mie saizi yako mie mdogo mbichi na hitaji mwanaume mashine upo?? Sio wanaume sura
Uwasilishaji wako wa mawazo kwenye nyuzi mbalimbali huwa unanivutia [emoji4].Kwanini mkuu [emoji23]
Kama masanja mkandamizaji alivyokua anachafua insta na picha za msukuma.. kumbe katibu alikua anamchora tuPostianeni Mpaka Dunia nzima ijue umependwa .
Mkuu huko nilishapita na sikuambulia chochote zaidi ya maumivu, hayo maumivu yakawa ni funzo kwangu, mwaka jana nimezika mshkaji kisa kuendekeza hisia na kutoukubali uhalisia(aligundua anachapiwa).Mkuu usiseme hivyo, labda kama hujapenda.
Kuna mwanamke unatokea kumpenda ila mkitofautiana unaleta ule uanaume tu kwamba lazima yeye ajinyenyekeze ndiyo umsamehe, ila kimoyomoyo hata wewe unatamani kumuomba msamaha yani.
Nakiri kwamba hii kitu ishanitokea kama mara 3 hivi in my lifetime. Kwa hasira utajikuta unafuta namba yake ya simu kumbe unayo kichwani [emoji1], uki-mute siku 3 na yeye aka-mute unaumia kinoma.
Mara unaiacha simu maghetoni au unaiweka kwenye silent mode ukidhania kwamba ukiishika utakuta missed call na msgs za "baby I am sorry", ukiicheki simu unakuta hola, moyo unazidi kuvuja damu.
Sasa ndiyo usema ampost mwanaume mwingine usiumie? Acha kabisa mkuu, tena hakuna status mbaya kama ile anampost mwamba mwingine halafu haweki caption yoyote. Alahaulaa...[emoji23]
Unajua kinachokuumiza ni nini? Ni ile una-imagine vile analalamika kipindi hicho mko faragha kwenye bedfight, sasa this time around, huo upendeleo wote anapewa mwanaume mwingine...[emoji3]
Acha tu braza. Inauma ingawa masela tunajifanyaga wagumu. Sema tu ndiyo ile falsafa ya kilio cha samaki, machozi yanaenda na maji. Kama hujamuelewa mbona fresh tu, hata afanye nini ndiyo kwanzaa unashukuru [emoji3].
Anakuja kwako kutaka tendo gani?Mwaka juzi niligundua pisi yangu imetoka kuliwa na Ex alafu kapita kwangu anataka tendo, nikacheka nikamwambia aendelee na maisha yake mimi nimesamehe ila siwezi kuendelea nae tena, akajiliza na kuomba msamaha mwisho wa siku nikawa nishaamua sikujali uzuri wake na shoo zake.