binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mhhh hiyo bar noma, ugomvi wa ME na KE mabaunsa huwa wanaamua bila kujali wamekosana nini.... maana anaweza umizwa mtu ikawa kesi mbaya kwa mwenye eneo pia.
Labda wachukuane wakagombane mbele sio ndani.
Labda wachukuane wakagombane mbele sio ndani.