Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Naona sasa unaona uniitie na strawberries baada ya kukwambia uende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona sasa unaona uniitie na strawberries baada ya kukwambia uende
Muite Mwalimu wako akusomeeHata sijasoma kwa kweli
Kwahyo ulikuwa unamaanisha hii ni chai mkuu..? HahaMhhh hiyo bar noma, ugomvi wa ME na KE mabaunsa huwa wanaamua bila kujali wamekosana nini.... maana anaweza umizwa mtu ikawa kesi mbaya kwa mwenye eneo pia.
Labda wachukuane wakagombane mbele sio ndani.
Wewe ndio umesema, kwanini unisingizie mimi?? 😂😂😂Kwahyo ulikuwa unamaanisha hii ni chai mkuu..? Haha
Wizooo em sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca muongo anaonea gere penzi letu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii, sasa wivuu nijiwekee kwakoo??Ila kweli kanaonekana kanawivu sana kale[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKuna bar moja niliwahi kuona hili tukio. Tena alikuwa mhudumu wa hiyo bar kala pombe na kutumiwa hela na dingi mmoja akajua dingi atakata moto. Mwisho wa siku ilibidi aende kuliwa mzigo maana kila mtu alimwambia ushakula ya watu toa
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mademu wanapenda sana pombe za bure ..unakuta pisi inakaa mburahati au mbagala ndani ndani ila ikifika bar ikipewa ofa inaagiza pombe za bei kali wakati mchana imeshindia ugali kwa vichwa na miguu ya kuku au utumbo.
Wizo naogopa 😂😂😂😂😂😂Wizooo em sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nnae bamsap humu, ni wa kwendaaaaa. We huogopii?
😂😂😁 Harakati za mtu mweusi kujifariji na safari ya uchumi wa buluuu
Nimependa usimuliaji wako, kuna ile nyingine nimeagiza vinywaji vingi kwenye meza from nowhere Dem anakuja anachukua kinywaji anakunywa anajifanya amelewa haelewi 😁
View attachment 3018806