Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Na unavyojua kuumenya huu mua kiuno bila mfupa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na unavyojua kuumenya huu mua kiuno bila mfupa
will you please step away from my site?Na unavyojua kuumenya huu mua kiuno bila mfupa
Vaa uendewill you please step away from my site?
.Vaa uende
Kuna bar moja niliwahi kuona hili tukio. Tena alikuwa mhudumu wa hiyo bar kala pombe na kutumiwa hela na dingi mmoja akajua dingi atakata moto. Mwisho wa siku ilibidi aende kuliwa mzigo maana kila mtu alimwambia ushakula ya watu toaJumapili Moja mida ya jioni nipo zangu home sielewi,’mwanangu’ mmoja akanicheki “oyaa Satoh upo wapi now?” Nikamjibu nipo home nimechill nacheki game ya Simba. Hiyo siku ilikuwa Simba inacheza na timu Moja(nimeisahau) club bingwa.
Jamaa: Ibuka pande za bar X tuzibue vizibo mwanangu,nipo man alone alafu sielewi kabisa.
Mimi: poa Mzee,nipe dakika kadhaa za kujiandaa kisha nitaibuka hapo muda si mrefu,kwanza Simba yenyewe inazingua naona miyeyusho tu,si unajua msimu huu tumepoteana,nitaangalia huko huko bar.
Jamaa ni mashabiki wa Yanga akanicheka kisha akakata simu.
Mimi siyo mlevi ila mara Moja Moja Huwa napenda kwenda hapo bar kupata supu ya ulimi au mchemsho wa kuku. Jamaa wako vizuri sana.
Alafu kingine ,ni bar yenye totoz Kali kinyama,kuanzia wahudumu hadi malaya wanaokuja kulia timing ‘madanga’ .Hawa mademu Mimi nawaita mizoga,maana ukiwa na Hela yako tu unajiokotea mtoto mkali na kusepa nae.(Ila Mimi siyo pigo zangu).
Kwa hiyo Huwa nikienda pale ni kama naenda kusafisha macho wikiend Moja Moja,pindi nikiboreka kukaa home.
Sasa basi;
Baada ya kujiandaa,dakika kadhaa nikawa nimeshakaribia eneo la tukio,bar nikawa naiona ilee.
Sasa cha ajabu kadili nilivyokuwa nasogea nikazidi kujiuliza Kuna jambo gani pale? Mbona watu kibao alafu kama wanapigana!!?
Nakaribia zaidi,namwona mshikaji wangu aliyeniambia nitokee bar amemtia ‘roba ya maana’ mtoto wa kike pisi ya maana,mrembo haswa!!
Cha ajabu zaidi watu wa pale bar karibia wote wanamsapoti mshikaji asimwachie yule demu.
Nikastuka imekuwaje tena,mbona mwamba ‘kamkwida’ mtoto wa kike?
Mimi:vipi tena mwanangu mbona sielewi, how come unamkwida mrembo kiroho mbaya hivi?
Jamaa: Mwanangu Satoh kausha kwanza,nitakusimulia Kila kitu,ila huyu Malaya simwachii hadi twende wote home
Mimi: (Huku nimezidi kuduwaa) Huyu demu kamfanya nini huyu mpuuzi!? Maana jamaangu namjua hasira mbele,alafu hanaga aibu kulianzisha popote pale ukimzingua. Hapa nilikuwa nawaza,huku nikisubiri mwafaka wa ugomvi maana mabausa nao walikuwa wameshaingilia ile vita na kumwambia demu alipe Hela ya watu,vinginevyo aondoke na jamaa akale mzigo.
Baunsa: Nyie Malaya mnatuharibia Biashara na image yetu inachafuka kwa ajili yenu k….. zenu,sasa ili iwe fundisho huyu jamaa lazima asepe na wewe mkamalizane huko mbele ya safari.
Mwanangu usimwachie huyu demu hadi akakupe mzigo,vinginevyo akurudishie Hela zako zote!!
Watu kibao hasa wanaume wakawa wanapiga kelele za kushangilia,kwamba hiyo ndiyo haki. Jamaa asepe na demu akajilie mbususu.
NINI KILITOKEA HADI JAMAA AKAANZISHA VURUMAI BAR?
Namalizia.
Unataka tena?
Nimekuwahi 😂Umeniovertake mkuu😁
Chai ya wazi kabisa ni stori za vijiwe vya kahawa 😁Nimekuwahi 😂
Share lovatitAlafu kingine ,ni bar yenye totoz Kali kinyama,kuanzia wahudumu hadi malaya wanaokuja kulia timing ‘madanga’ .
Daah umenifanya nicheke peke yangu kama boya 😂😂
Tunapangwa sana humu mzee wangu 😂Daah umenifanya nicheke peke yangu kama boya 😂😂
dah kuna watu hawana aibu nikisikiliza wimbo wa ekotite unanikumbusha kitambo kidogo siku moja nipo singida (matembezi) kulikua na pub moja inaitwa rhode tulikua mtu tano sinywi pombe ila kampani yangu wanakunywa basi vinywaji vilijaa sana mezani cha ajabu alitokea dem anacheza huo wimbo anakuja kwenye meza anachukua beer anasepa kuna muda wana wakamlia timing wakaweka mkojo na dema akabugia tulisikia chupa ikitupwa na milio ya nokia😁 Harakati za mtu mweusi kujifariji na safari ya uchumi wa buluuu
Nimependa usimuliaji wako, kuna ile nyingine nimeagiza vinywaji vingi kwenye meza from nowhere Dem anakuja anachukua kinywaji anakunywa anajifanya amelewa haelewi 😁
View attachment 3018806
Sasa hapa sijui kosa langu lipo wapi,mkuu.Tunapangwa sana humu mzee wangu 😂
Mm pia cjuiSasa hapa sijui kosa langu lipo wapi,mkuu.
Kwan watakuja?Hii siyo bar ya uswahilini.
Ndiyo maana nimeogopa kuitaja jina,isike kuleta shida kidogo.
Dar.Ipo Dar,Dodoma,?
Kwa nini mnahisi kuwa hii ni chai wakuu?Umeniovertake mkuu😁