Wanawake mkiwa Bar acheni kuvamia meza za watu msiowafahamu

Mhhh hiyo bar noma, ugomvi wa ME na KE mabaunsa huwa wanaamua bila kujali wamekosana nini.... maana anaweza umizwa mtu ikawa kesi mbaya kwa mwenye eneo pia.

Labda wachukuane wakagombane mbele sio ndani.
 
Kuna jamaa hapo juu anasema 30k ndiyo ya kubshana?

harakati za siri aje aone huyu alivyomaindi kwa bia Moja.
 
Mhhh hiyo bar noma, ugomvi wa ME na KE mabaunsa huwa wanaamua bila kujali wamekosana nini.... maana anaweza umizwa mtu ikawa kesi mbaya kwa mwenye eneo pia.

Labda wachukuane wakagombane mbele sio ndani.
Ndicho kilichofanyika.

Walitolewa ndani wakawa wanagombana nje ya bar. Lakini mabaunsa wakawa wanamsapoti jamaa.
 
Na huyo rafiki yako naye ana tamaa, hapo wadangaji wawili wamekutana
 
Inategemea mie huwa nina utaratibu wa kutoweka Mazoea na hao watu hasa nikiona hana vile vigezo navyovitaka kwanini nipoteze hela..

Akiagiza namruhusu.. waitress akija namwambia niletee Bill nikulipe nalipa huku anaona kama aliagiza bia moja ndio anaona navyomaliza kulipa.. akiongeza atajua yeye kwanini kupigizana kelele.

Na formula yangu ni moja kama naenda maeneo ili niwinde Pisi basi sipotezi muda hapo maana atakutia hasara za unywaji wa vinywaji expensive, mfano binafsi sinywi mataputapu akiona JD ipo mezani automatically ataagiza Wine hapo ya 25k akiagiza mbili? Bado Msosi? Yote yanini hayo..

Nikifika ni kupoint Mzoga naouona unanifaaa nabebelea mbele kwa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…