Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Kuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia.
Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia... “Mambo hubadilika, Usinene ukamara” Hii haijanitokea mimi nikuta twita
Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia... “Mambo hubadilika, Usinene ukamara” Hii haijanitokea mimi nikuta twita