Wanawake mkiwa mnatuacha angalieni na maneno ya kutuambia

Wanawake mkiwa mnatuacha angalieni na maneno ya kutuambia

Haya karibu kwenye kikundi uje nikupe tiba (Certified Therapist kwa walio achwa na kuumizwa)😅
 
Mimi kama graduate wa BSc with Education (Chemistry and Biology) nalaani kitendo cha huyo bibie kudharau kada mwenzangu katika taaluma. Hivyo basi naamuru huyo mwanamke atafutwe haraka sana atafsiri hizo meseji zake kwa kiswahili ili zimuingie vizuri mlengwa.
 
Kuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia

Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia...

“Mambo hubadilika, Usinene ukamara”

Hii haijanitokea mimi nikuta twita
View attachment 2092023
Walimu tuna hali ngumu..daah huyu mwanamke katuchana ile ukweli wala hajapepesa maneno..lawama zote kwa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Walimu mnakwama wapi? Yaani mpaka 30 hujapata mchumba yaani mm ningejichagulia mchumba wa form three akimaliza four naoa ona Sasa unahangaika na majitu ya hovyo namna hii. Yaani mm kwa mwanamke ambaye ananijua vizuri hawezi ni jibu hivi
 
🤕🤕🤕msicheke leo kwake kesho kwako naona hapo tatizo ni pesa walimu wanapitia magumu tena jamaa graduates kile chama cha CWT kipo wapi😎😎😎jamaa apeleke malalamiko
 
Walimu tuna hali ngumu..daah huyu mwanamke katuchana ile ukweli wala hajapepesa maneno..lawama zote kwa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
Sio walimu tu, watumishi katika kada nyingi wanachukua take home isiyozidi 900k,.

In short, kuajiriwa kwa asilimia mia kubwa ni kujihakikishia haulali na njaa tu ila maendeleo inabidi ujiongeze
 
Kuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia

Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia...

“Mambo hubadilika, Usinene ukamara”

Hii haijanitokea mimi nikuta twita
View attachment 2092023

Ukiyasoma kwa utashi wa kutaka kuelewa na kujipa changamoto, utamshukuru huyo dada miaka kadhaa ijayo, ila ukiyachukulia kama kejeli na dharau utajikuta unakufa masikini.

Dada amekupa ukweli ambao hata wazazi wako hawawezi kukuambia kirahisi au marafiki zako wanaweza kushindwa kukuambia. Watu kama hawa ni wachache sana kuwapata.

Nakumbuka miaka kama 13 nyuma, dada mmoja alinipa makavu kama haya ofisini, aliona uwezo wangu na akachagua kuniamsha usingizini.

Nimemshukuru zaidi ya mara kumi kwa kunipa ile michambo, kilichonisaidia ni kwamba sikuyachukulia personal, bali niliichukulia kama changamoto chanya.

Leo ninakula mema ya nchi.
 
Teacher kapigwa na kitu kizito maskini.
Hayo maneno yanatakiwa yamuume kwelikweli ili ajiongeze katika kutanua wigo wa kipato chake kisha baadae anaweka mikakati ya kwenda kumuoa mdogo ake huyo ex wake.

Ila kama kweli msela yuko hivyo inabidi abadilike, anasubiri ajira tu tena ya ualimu [emoji1430][emoji1430][emoji1430]huyo dada ni wife material basi tu[emoji41]
 
Hyo ujumbe unatembea Twitter Sana huyo ajitambui anajuwa wanaume wote watakuwa matajiri hpn hata kimshahara kidgo Cha laki 699000 aridhike tu maisha Ni Zaid ya nyumba na magari maisha Ni upendo wa dhati utajiri Ni matokeo tu na kibali Cha kutoka kwa mwenyenzi MUngu muumba ya dunia na vitu vyote

Atakuja kwenda kwa wapambanaji atapigwa tukio atamkumbuka huyu ticha

Ila Kaz ya uticha niliutema mwak 2013 nilitaka kbsa nisomee post ya ualimu I'll kikwete anipe ajira ..hyo Kaz haina stress Ni wew kuchezaa na akili ya kuongeza kipatao na mikopo iliyoko nnje nje
 
Back
Top Bottom