Wanawake mkiwa mnatuacha angalieni na maneno ya kutuambia

Wanawake mkiwa mnatuacha angalieni na maneno ya kutuambia

Daaaa!! uyo kapata jimbo jingine lenye raslimali nyingi kk[emoji4]
 
Bnt wala hajakosea, lkn pia kila mtu anataman kuish maisha mazr na s kuish ish tuu. Na n uamuz mwema aliouchukua kama amepata yule wa ndto yake s mbaya.

Na pia ujifunze maana amekuambia nn shda mpk kakuacha, s kama wengne wanaondka kimya kimya....fanyia kaz maneno yake wala usmchukie, kila mtu anavpaumbele vyake uswe mbinafsi. [emoji4]
 
Bnt wala hajakosea, lkn pia kila mtu anataman kuish maisha mazr na s kuish ish tuu. Na n uamuz mwema aliouchukua kama amepata yule wa ndto yake s mbaya.

Na pia ujifunze maana amekuambia nn shda mpk kakuacha, s kama wengne wanaondka kimya kimya....fanyia kaz maneno yake wala usmchukie, kila mtu anavpaumbele vyake uswe mbinafsi. [emoji4]
Penye mafanikio mala zote yupo mwanamke sasa mwanamke uyo uoni kama yy kakimbia harakat za mafanikio means kapata mahali pengne
 
Kuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia.

Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia... “Mambo hubadilika, Usinene ukamara” Hii haijanitokea mimi nikuta twita

vijana tafuteni pesa.
giphy.gif
giphy.gif
 
Sio kweli, muone alichoshika fukara mwenye sasaView attachment 2092674
nilidhani unaweka screenshot ya account yako binafsi ya bank ikionyesha miala yako ya fedha za kitanzania zinayoingia na kutoka.

kushika it's something very simple. hata mimi naweza nika-download picha kutoka google ikionyesha pesa za madafu zikiwa zimeshikwa. kubari tu kuwa wewe ni fukara, usikasirike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
IMG_20220123_141807.jpg
 
nilidhani unaweka screenshot ya account yako binafsi ya bank ikionyesha miala yako inayoingia na kutoka.

kushika it's something very simple. hata mimi naweza nika-download picha kutoka google ikionyesha pesa za madafu zikiwa zimeshikwa. kubari tu kuwa wewe ni fukara, usikasirike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 2092695
Ushambani huu
 
nilidhani unaweka screenshot ya account yako binafsi ya bank ikionyesha miala yako ya fedha za kitanzania zinayoingia na kutoka.

kushika it's something very simple. hata mimi naweza nika-download picha kutoka google ikionyesha pesa za madafu zikiwa zimeshikwa. kubari tu kuwa wewe ni fukara, usikasirike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 2092695
Wanaume hatu gugu pesa za watu mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume hatu gugu pesa za watu mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
acha porojo, weka screenshot ya account yako ya bank tuone miala yako ili nisikuite mtu fukara.

hivi punde nimetumia app ya crdb bank ku request full bank statement ya account yangu, tayari wameshanitumia pdf document kwenye email yangu.

ni suala la mimi tu kuweka hapa jf au nipotezee.

wanaume halisi hawajivunii vipesa vichache vya kupigia picha, wanajivunia miala inayofanyika kwenye account zao na salio liliopo.

mzigo huu hapa.
IMG_20220123_143237.jpg
 
Yaleyale ya huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema tuu kaamua kutumia lugha ya malkia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
acha porojo, weka screenshot ya account yako ya bank tuone miala yako ili nisikuite mtu fukara.

hivi punde nimetumia app ya crdb bank ku request full bank statement ya account yangu, tayari wameshanitumia pdf document kwenye email yangu.

ni suala la mimi tu kuweka hapa jf au nipotezee.

wanaume halisi hawajivunii vipesa vichache vya kupigia picha, wanajivunia miala inayofanyika kwenye account zao na salio liliopo.

mzigo huu hapa.
View attachment 2092715
Mtanange uendelee
 
Mtanange uendelee
tayari kashasanda.
uzuri wa bank statement ya account mtu ni issue very privacy kwasababu inabeba information nyingi muhimu za mwenye account, ndio maana huwezi kudownload kutoka google kama unavyo download picha ya pesa za kitz zikiwa zimeshikwa.

nasubiri atimize request yangu ili na mimi niachie pdf ya bank statement yangu hapa jf.
 
Tena heshimu sana walimu. Kesho unaweza kuta ni Waziri au hata Rais. Historia imeonyesha hivyo (Nyerere, Mwinyi, Magufuli, Majaliwa, Jennister Mhagama, nk.).
Unahisi wakati anadate nae alikuwa hajui ni mwalimu au ndoto zake?Basi tu kapata mwenye nazo ndio maana anakuja na hizo sababu.But trust me anasema hivyo ila moyoni anahofu ipo siku anakoenda patakuwa pachungu na atamkumbuka huyo mtu.Vitu hubadilika tafuta hata uongo wa kumdanganya mtu maana kesho unaweza mkuta sehem nyingine ukaaibika
 
Back
Top Bottom