Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Umemaliza dearKwahiyo ni bora akuache kimya kimya bila kukuambia sababu? Binafsi naona anayekuambia sababu anakusaidia ama kujirekebisha au kuongeza bidii katika eneo lenye udhaifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza dearKwahiyo ni bora akuache kimya kimya bila kukuambia sababu? Binafsi naona anayekuambia sababu anakusaidia ama kujirekebisha au kuongeza bidii katika eneo lenye udhaifu.
Ila all in all walimu ndio wanahali ngumu sana.Sio walimu tu, watumishi katika kada nyingi wanachukua take home isiyozidi 900k,.
In short, kuajiriwa kwa asilimia mia kubwa ni kujihakikishia haulali na njaa tu ila maendeleo inabidi ujiongeze
Mwanzo alivyokuwa nae hakuona hiyo hali na si angemwambia tokea mwanzo aongezee bidii...wanawake wakiwa hawakupendi lolote wanaweza kukufanyia hata kukuua[emoji23]Kwahiyo ni bora akuache kimya kimya bila kukuambia sababu? Binafsi naona anayekuambia sababu anakusaidia ama kujirekebisha au kuongeza bidii katika eneo lenye udhaifu.
Wanaoandikaga hizi meseji ndio vinara wa kudai wamewamisi 😅 wakishachezea vya mbavu toka kwa waume wa watu walipojiegesha huko!Atamkumbuka mwalimu huyu dada hakika tena.Ngoja akabuluzwe huko apewe mimba, ukimwi na abaki single mama.
😅😅😅😅😅😅😅 anajiona mjanja kwa kupata danga ila akitoswa hapo hamna rangi ataacha ona! Mabingwa wakuomba sorry mrudianeMademu wa hivi huishiaga pabaya...siku unakutana nae kapauka na kiingereza kasahau[emoji2960][emoji2960]
Mbona mnawatenga..wapeni tu nao ni wanadamu pesa makaratasi ingawa yana umuhimu..Kweli nikisikiaga mtu ni mwalimu nakata tamaa seriously
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anajiona mjanja kwa kupata danga ila akitoswa hapo hamna rangi ataacha ona! Mabingwa wakuomba sorry mrudiane
Hilo ni jambo la kushukuru sio kulaumu
NotedSiku ukielewa kuwa kwenye maisha hakuna kitu kinacho kutokea pasipo sababu hauwe umia sana kwenye mambo kama aya yanayokuja yameisha jifunua kabsa
Huyo anabwabwaja maneno hayo, usikute jamaa anaemwambia maneno hayo ameahampiga pipe Vya kutosha aisee, sasa kipindi hicho alichokua anapelekewa moto alikua hajui Kama Jamaa hana na ni Mwalim , umempata mwenye vijisent anaanza dharau aisee, sasa siku akizipata pesa zake mwenyewe itakuwajeKuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia
Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu aumie kisaikolojia...
“Mambo hubadilika, Usinene ukamara”
Hii haijanitokea mimi nikuta twita
View attachment 2092023
Jipe Moyo mzee 😅😅😅 unajua bei ya dhahabu kilo moja? Usije ukajutia maamuzi tu!View attachment 2092239
poleni mno [emoji1787][emoji23][emoji23]
Hit and run NDIO yenyeweNdioo maana dawa yenu ni moja tuu....kugegeda mara tatu na kusepa zako
DaaahKwahiyo ni bora akuache kimya kimya bila kukuambia sababu? Binafsi naona anayekuambia sababu anakusaidia ama kujirekebisha au kuongeza bidii katika eneo lenye udhaifu.
Hello mkuu!Hii ni namna ya kubalance in kind, in the same proportion, yale majigambo uchwara & mauongo yenu kibao wakati mkipigisha sound kwenye kubemba.
Unaweka kambi ya nini wakati wapo warembo kibao wanahitaji huduma ya mgegedo mpaka sasa wanaanza kutumia vyupa🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mademu wa hivi huishiaga pabaya...siku unakutana nae kapauka na kiingereza kasahau[emoji2960][emoji2960]