Wanawake mkiwa mnatuacha angalieni na maneno ya kutuambia

Atamkumbuka mwalimu huyu dada hakika tena.Ngoja akabuluzwe huko apewe mimba, ukimwi na abaki single mama.
Nimecheka kwa sauti, mwalimu ameonewa hahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaa
 
[emoji23][emoji23]Sorry nimecheka but what is she offering in the relationship, Or just some puSSy?

Kwanini asimpe wazo la any investment ili pesa kidogo kutoka kwenye ualimu itumike kuzalisha pesa zingine akimsaidia kusimamia.

Nevermind, she is a still a girl, when she becomes a woman , she will eventually understand.
 
Banah wewe nilikuwaga na kadem na nimedumu nacho kama mwaka hivi.. sasa siku hiyo sijui ilikuwaje sijui ndio alinichoka kanambia kuanzia leo usinitafute na tuachane kuanzia leo.. nilishangaa ila nilimuuliza kwa nini umeamua hivyo hilo jibu sasa et? Kwa kuwa nanii lako kubwa.. sasa siku zote mbona ulikuwa hausema mwaka wote umetumikia bila tatzo.. daah akaenda ila ilikuwa akimis ananitafuta tunacheza kisela
 
Na nyie mkizeeka baada ya kuzaa msitulaumu kutafuta mademu wabichii sasa.. yani MTU unapesa alafu Una Mbibi nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kasema ukwl huna hela na yy anataka hela ila hana hela , kikubwa zaid hataki maisha mabaya kama wazazi wake, ale mwendo n mbuzy tu
 
Na huo ndio ukweli ambao hata jamaa mwenyewe hakuujua....

Aache tu kulialia na mapenzi alitatue tatizo ambalo ameambiwa analo... Ila Vijana walivyo wa hovyo ataanza kujiaminisha kuwa demu anakoenda atapata taabu halafu baadae atarudi kwake...

Huyo Materialistic haezi rudi kwa masikini... Akirudi basi ujue miles gauge imesoma hadi mshale umeacha kucheza.. Na Wame futa kilomita..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…