Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Thomas Brown

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2025
Posts
344
Reaction score
856
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
 
Back
Top Bottom