Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatuona sisi wavaa mashati ya vitenge kama wapenda vilivyooza30 halafu singo maza, aah vijana wataishia kukufanya tu
Wavaa mashati ya vitenge na sisi tunaringa mida hii mkuu. Soko letu lipo juu. Tunatembea vifua mbele kama wauza madafu wa Ikulu..Wapi hao wajuaji?
Saka noti bwashee hakunaga mchaga analialia mambo ya mwanamke kizembe .Wavaa mashati ya vitenge watuache hao dada zenu wa 30+
Watanzania wote hatuwezi kuwa matajiri.Saka noti bwashee hakunaga mchaga analialia mambo ya mwanamke kizembe .
Wapi nimesema uwe Tajiri? Hayo mashati ya vitenge mnagawiwa bure huko parokiani kwani?Watanzania wote hatuwezi kuwa matajiri
Sad truth:Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Ndio..Wapi nimesema uwe Tajiri? Hayo mashati ya vitenge mnagawiwa bure huko parokiani kwani?
Kwa hiyo mnavaa vitenge kama mamaa Mbilia Bel au Scol Miel?Mnatisha sana!Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
😁😁Acha wivu kijana t-shirt na jinsi haizidi hata 40000 ili nawewe uwe mnyawezi uwadukue ili upunguze kulia lia na shati lako la kitenge mkuu😁Ndio..
Waambie dada zako waache kunisumbua na vitenge vyangu wao waendelee tu na umal@ya wao na wale wavaa t-shirts na Jeans..
Wee acha tu mkuu. Wanawatuma mpaka wamama watu wazima kuja kuomba eti niwaoe na hivihivi vitenge vyangu, sasa hivi wanasema wanavikubali sanaKwa hiyo mnavaa vitenge kama mamaa Mbilia Bel au Scol Miel?Mnatisha sana!
Kwa mimi afisa mtendaji wa kijiji 40,000 kwangu ni nyingi mnoo mkuu..😁😁Acha wivu kijana t-shirt na jinsi haizidi hata 40000 ili nawewe uwe mnyawezi uwadukue ili upunguze kulia lia na shati lako la kitenge mkuu😁
Jiingize kichwakichwa ukute hivyo vitenge/vikwembe vyote kakopea kwenye vicoba.Wee acha tu mkuu. Ninatumiwa mpaka wamama watu wazima kuja kuomba eti niwaoe na hivihivi vitenge vyangu, sasa hivi wanasema wanavikubali sana
Chukua rushwa kwa wafugaji.Wapige mkwara unawahamisha makazi lazima upate ng'ombe wawili.Kwa mimi afisa mtendaji wa kijiji 40,000 kwangu ni nyingi mnoo mkuu..
Okoka.Achana na mambo ya mbususu.Kunywa mtori utulie.Sema tusikariri kuna vitoto vina 24 lakin mbususu imechakaa haifai kabisa ni ya kutupa.
30 wengine wapo vizuri tu tusiwanyanyapae
Yaaani ninaringa mkuu wee acha tu. Jana nilienda kupima tena kwa fundi cherehani mashati mengine manne ya vitenge vya KTM Mbagala, hapo bado ninasubiri vitenge vya uchaguzi vya CCM, mbona watakoma mwaka huu..Pole sana muda ni wako sasa na wewe kuwaringia.
Na bado bwana Chalamila alisema lazima mshonewe suti safari hii.Yaaani ninaringa mkuu wee acha tu. Jana nilienda kupima tena kwa fundi cherehani mashati mengine manne ya vitenge vya KTM Mbagala, hapo bado ninasubiri vitenge vya uchaguzi vya CCM, mbona watakoma mwaka huu..
Huku kijijni ukileta unaa unapigwa mishale tu na wamang'atiChukua rushwa kwa wafugaji.Wapige mkwara unawahamisha makazi lazima upate ng'ombe wawili.