Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tunakuletea mama J.Me najipa thamani
Sitaki vikongwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakuletea mama J.Me najipa thamani
Sitaki vikongwe
Aje atuambie hapa yeye anataka kuoa wa umri gani😑Au na yeye anataka kuoa wa miaka 9?
Ni mazuri sana kwa kuchezea kiwazenza,ndombolo ya solo na ekibindankoi.Mashati ya vitenge😂😂😂😂
Ni sawa tu unakuta mtu na akili zake anaamua kuoa singo mazaSiwezi kuoa mwanamke aliyechakaa. Wao ndio wanawatuma rafiki zao kuja kutuomba tuwaoe wakiwa wamechakaa
25 yrs ashakitembezaNimestuka eti 25 jamani😄,. We ngara23 wewe
Ila 25yrs mbona bado mdogo😂25 yrs ashakitembeza
Anajua kuikalia, dog style, kulamba cone🤣
Demu anakuomba mbol.o mwenyewe
Demu hataki kufika kileleni kisa usugu alokutana nao miaka mingi
Unapendeza pisi vitu vingine umwelekeze si yeye ashajifunza Kwa wahuni
Tafadhali 🤣Tunakuletea mama J.
Kila kitu ni kigumu mkuu hapa duniani, ila kuna vitu unaweza kuviepuka ikiwemo kuishi na mwanamke mileage inasoma namba ndefuNdoa ngumu Mkuu 😃😃😃
25 yrsIla 25yrs mbona bado mdogo😂
Mwanamke wa 30+ amechakaa? Hem acheni kuwashusha wanawake. Kama mdada kajitunza, ukikutana na kwenye 30s utamfurahia kwa kila kitu.Siwezi kuoa mwanamke aliyechakaa. Wao ndio wanawatuma rafiki zao kuja kutuomba tuwaoe wakiwa wamechakaa
Mwanamke asiolewe ili aweje?Tuache huu uhanithi wa kufungua uzi wa kuwakandia wanawake. Kwenye haya maisha kila mtu ana machaguo yake. Na huwa hakuna kuwahi wala kuchelewa. Bora mwanamke asiolewe kuliko ajiingize kwenye ndoa na mtu ambaye haendani naye.
Unamkana tena?Tafadhali 🤣
Na sisi tunataka dogo dogo ndo zile mali zetuUnamkana tena?