Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Tuache huu uhanithi wa kufungua uzi wa kuwakandia wanawake. Kwenye haya maisha kila mtu ana machaguo yake. Na huwa hakuna kuwahi wala kuchelewa. Bora mwanamke asiolewe kuliko ajiingize kwenye ndoa na mtu ambaye haendani naye.
Siyo kuwakandia.Ni kuwapa alerts wawe makini na mienendo yao.Be patient!
 
wanawake kuanzia umri wa miaka 16-24 mjifunze kitu hapa, mkiwa ktk UBORA wenu huwa mnatudharau sana ma-HU$TLER's. mnafanya WRONG selection at RIGHT time, kama siyo kuruka mkojo na kukanyaga nnya ninini?
unamkataa
MTAFUTAJI,
unamshobokea
BI$HOO, anakut*mba wee! Kei ikitepeta anakutema km big G.
shauri lenu, mabinti vigoli mnaopevuka, chukueni tahadhari kuna cha kujifunza hapa.
 
Sad truth:

Men age like fine wines 🍷 but bichez age like milk.

Dada angu akitokea boya mmoja anataka kukuoa usilete mapozi sijui unataka kula ujana, olewa ujana utaula ndoani.

Unatakiwa kujua, kwa mwenendo wa dunia ulivyo sasa, idadi ya wanaume wanaooa inaanza kupungua, kuoa imekua kama mzigo, hata hapa jf hii movement ya kataa ndoa imeanza juzi juzi tu(alarm igonge kichwani mwako binti)

Usiwasikilize mastaa sijui ma infuluensa utaishia kujuta maisha yako yote ukiwa peke yako in your 30s or 40s baridi inakupiga hupati hata msaada, katoto kamoja ulikozaa kwa kuwaiga mastaa wa insta unakuta hakana nyuma wala mbele kameamua kuwa ka shoga tu coz ya malezi.

Olewa leo hata kama mwanaume ni mshamba mvaa mashati ya kitenge, utambadilisha tu(naturally mwanamke ana power ya kumbadilisha mwanaume)

Chukueni hiyo nyie mademu wa humu
Mmesikia hiyo nyie kina Kelsea Aaliyyah mzabzab nataka niwaoe nyie mnajidai chagua chagua haya yangu macho
 
Back
Top Bottom