Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Basi mashati yako ya kitenge yatakuwa makali sana mpaka unatumiwa washengaSiwezi kuoa mwanamke aliyechakaa. Wao ndio wanawatuma rafiki zao kuja kutuomba tuwaoe wakiwa wamechakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mashati yako ya kitenge yatakuwa makali sana mpaka unatumiwa washengaSiwezi kuoa mwanamke aliyechakaa. Wao ndio wanawatuma rafiki zao kuja kutuomba tuwaoe wakiwa wamechakaa
Lazima ukomment hizo post maana kuanzia mke hadi michepuko niwazee , mke ana 45,chepuko 39 na kigaloni 35Sawa sawa
Safi sana, Msasani mwisho/beach peninsula au msasani bonde la mpunga ?Nipo hapa msasani nimepanga nyumba nzima na wala siwazi kodi
MAmboo za umpendayeHahahaha
Hahahaha, aisee, hahahahaLazima ukomment hizo post maana kuanzia mke hadi michepuko niwazee , mke ana 45,chepuko 39 na kigaloni 35
Vyovyote wewe chukua uber ujilete na lunch yakoSafi sana, Msasani mwisho/beach peninsula au msasani bonde la mpunga ?
Ha hahahaha,ni poa kbs..kama uko msasani tukutane Beach pale ,RorosMAmboo za umpendaye
Nasema ukweli jamaniHahahaha, aisee, hahahaha
[emoji3][emoji3] itakua wa kijijin kwao kabisaMtag alie kusumbua humu , au ni hao wa huko kijijini kwenu mkuu?
Mie Niko hapa msasani beach ,Roros nimetoka church st Peter pale nashangaa bahariVyovyote wewe chukua uber ujilete na lunch yako
Ha hahahaha,mie mke wangu umri kama wako, mchepuko unasoma Kwa kairuki...king'ast kdg kdg kingine kipo msasani ndio nakisubiri hapa BeachNasema ukweli jamani
Kaka huo uchakavu wa mbususu mnaubaini vipi ? Inakuwa kama lapulapu au!!! Nisijekuwa niko nyuma ya muda 😁😁😁.Sema tusikariri kuna vitoto vina 24 lakin mbususu imechakaa haifai kabisa ni ya kutupa.
30 wengine wapo vizuri tu tusiwanyanyapae
nataka kufahamu ndoa ikoje eti mkuu naulivyo sasa mdogo , ulioaje mtu mkubwa kwakoHa hahahaha,ni poa kbs..kama uko msasani tukutane Beach pale ,Roros
Unajisifu tu ila ukweli 2010 ndio ulioa namke wako anakihere here sanaHa hahahaha,mie mke wangu umri kama wako, mchepuko unasoma Kwa kairuki...king'ast kdg kdg kingine kipo msasani ndio nakisubiri hapa Beach
Nasikie eti mnapenda wavaa vitenge😁[emoji3][emoji3] itakua wa kijijin kwao kabisa
[emoji3][emoji3] apeleke usukuma wake huko halafu anajiita mchaga kuchafua kabila hatuna watu wa sampulii hiiNasikie eti mnapenda wavaa vitenge[emoji16]
Tuliza mshono wewe ex wangu..[emoji3][emoji3] apeleke usukuma wake huko halafu anajiita mchaga kuchafua kabila hatuna watu wa sampulii hii
Mim mwenyewe nguo za vitenge zinahesabika napendaje mwanaume mvaa nguo za kike